Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Hueleweki kama unalia au unalalamikaRudi jikoni ujiongeze.. umepwaya na haujawahi kuwa hivyo kivileeee.. 🤣🤣🤣
Hii kali.. HONGERA SANA kwa kulitambua hili sasa.. too late.. nawe una kakosea usisingizie viongozi tu. 😅😅😅😅😅
Nimekumbuka picha ulipiga ukiwa Dar siku moja.. za kiupaparazi pale mnahangaika na viongozi wenu.. wa matumbo yao hadi Leo.. mlipotambua mmepwaya tangu enzi zileee.. miaka imeenda sasa..