Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni kama wanaambizana kwanza jinsi ya kutuminya ili ukienda upande wa pili ukute mambo ni yale yale..!Asee nilijua Mimi tu .. Ila hata Voda nao hawana tofauti nao
Utakuwa ili kulinda maslai yao..Tatizo ni kama wanaambizana kwanza jinsi ya kutuminya ili ukienda upande wa pili ukute mambo ni yale yale..!
Na hayo ni mawazo yako tunayapokea...Nani kakulazimisha kutumia Tigo?,umeshikiwa bunduki?,kwani mtandao ni Tigo tu hapa Tanzania?
niretee gwajimaaaKwenye vifurushi wakoje na speed ya mtandaoo wao?
Ngoja nitafute line ya HALOTELniretee gwajimaaa
Tsh. 1000, 1GB, wiki moja
Wanazidiana kwa wizi TIGO ni takataka tu..Kote hovyo tu.
weka menu ya vifurshiHamia airtel
halotel wan gb 12 kwa mwezi kwa 10,000 na haichachi.... tafuta line ya RoyalKote hovyo tu.
Bora kuhamia huko kwa sasa ingawa nao wakija kuwa na wateja wengi wanaweza kuja kupongeza gharama.halotel wan gb 12 kwa mwezi kwa 10,000 na haichachi....
Hawa atleast wanaonyesha uzalendo hata kama watabadilika kwa badae ..Vodacom
Kwa elfu moja, napata GB 1, dk 100 (mitandao yote) na sms za kutosha kwa siku 3
Nikija Halotel
Kwa elfu moja, napata GB , dk10 na vi sms vya kutosha kwa siku 7
Chaguo ni lako mkuu, fanya uchaguzi sahihi.
Utapeli tu hamna kitu hapoExpress yourself, Live it Love it
Naaam! mkuuHawa atleast wanaonyesha uzalendo hata kama watabadilika kwa badae ..
*149*99#weka menu ya vifurshi