dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
randy keith orton
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe nae utakufa Kwa stroke bure kamandaInashangaza sana mkuu,
Baada ya mabeberu kutumia DDT kumaliza mbu huko kwao;
Wakaamua watudanganye kuwa ni sumu.
Wao kwao mbu hakuna.
Kuwa na variants mpya kila mara ndio kuwa na high mortality and vice versa?!!!!!!!!!!!!!Malaria imetengeneza variants ngqpi katika miaka miwili iliyopita?
IQ ndiyo nini?Kuwa na variants mpya kila mara ndio kuwa na high mortality and vice versa?!!!!!!!!!!!!!
This is too low for you bro, come on ..una IQ kubwa sana kuliko ulichokiandika, hebu futa chap kabla wakuda hawajaona.
IQ ndiyo nini?
Nakwambia hivi, una hiki kitu Covid-19 kinabadilika badilika kila miezi michache, hatujui kitaendaje. Kinaweza kubadilika kikawa hakisikii dawa wala chanjo kikaua dunia nzima. I am talking "Extinction Level Event". Do you even know what that is?
Hiyo Malaria tushaijua haina kutojulikana inavyobadilika kihivyo, kuna dawa nyingi tu zishatengenezwa.
Ushawahi kuona dawa ya Covid-19?
Unajua tofauti ya ugonjwa wa virus kama Covid na ugonjwa wa Plasmodium parasite?
Kwanza kabisa nishushe tuwe sawa usinipaishe juu sana nishindwe kuwa hata huru kutoa maoni yangu kwa sababu umenipandisha juu sana.C'mon big bro,
I know your deep reasoning capacity, sina shaka kuhusu hilo, but this is too low for you!!
Sasa kama kina mutate every now and then chanjo ya nini kwenye hili na sio malaria ambayo haibadiliki na still inaua kuliko uviko?
Hatuongelei kuhusu dawa ya malaria tunaongelea kuhusu chanjo, kuna chanjo yoyote ya malaria iliyoko sokoni?
Unauliza tofauti ya ugonjwa wa virus kama covid 19 against ugonjwa wa plasmodium, seriously kiranga huyu huyu?!!!
Kama kuna ugonjwa wa virus unaofanana na covid 19 ni upi ukilinganisha na yenyewe na unafananisha kivipi I mean kwa pathophysiology&clinical features zipi?
Hivi siku hizi kuna ugonjwa wa plasmodium?!!! Nnavyojua kuna ugonjwa wa malaria unaosababishwa na plasmodium falciparum, malariae, ovale na vivax
Narudia tena, this is too low for kiranga I know!
Kwanza kabisa nishushe tuwe sawa usinipaishe juu sana nishindwe kuwa hata huru kutoa maoni yangu kwa sababu umenipandisha juu sana.
Umeuliza swali zuri.
Kama kina mutate sana (kirusi cha Covid-19), chanjo ya nini?
Chanjo ni kati ya silaha za kutusaidia kuzuia mutation.Mutation inatokea sana katika watu ambao hawana chanjo na wanaumwa sana na kulazwa. Watu wakichanjwa mutation inakuwa contained, virusi vinadhibitiwa visi mutate sana.
Umeshaelewa hiyo point kwanza?
Nimekuuliza tofauti ya ugonjwa wa virus na wa plasmodium ili kujua kama unaelewa tofauti kubwa ya nature ya virus na plasmodium, unaonekana huelewi.
Unapouliza "hivi siku hizi kuna ugonjwa wa plasmodium" ni sawa na kuuliza "hivi siku hizi kuna ugonjwa wa virus?". Kama kuna ugonjwa unaosababishwa na plasmodium, kuna ugonjwa wa plasmodium, kama kuna ugonjwa unaosababishwa na virus, kuna ugonjwa wa virus.
What are you even asking?
Variants mpya zinachochewa sana na watu wasiochanjwa.Hata huku, US kwa mfano, kuna watu wengi wanakataa chanjo kwa sababu ya kujazana ujinga.Kama chanjo inazuia mutation, why kuna variants mpya kila siku tena kutoka hizo nchi zilizochanja sana?
Nafahamu kiasi kuhusu tofauti kati ya protozoa(plasmodium) na virus (like covid etc) so sio naive kivile so epuka kuwa judgemental.
Kuhusu kuuliza ugonjwa wa plasmodium, elewa context kwanza...nazungumzia ugonjwa sio causative agent ya ugonjwa, elewa tofauti, so hakuna ugonjwa wa plasmodium duniani kote ila kuna ugonjwa unaosababishwa na plasmodium ambao ni malaria, sio mara zote A=B=C usichanganye mambo!
Hali ya upumuaji kwa magonjwa gani mkuu maana nasikia kuna magonjwa kadhaa yenye kusababisha hilo tatizo la upumuaji?Tukiachana na mizaha ya kisiasa,natamani uje pahala nilipo sasa uone jinsi wapendwa wetu wanavyoteseka na hii hali ta upumuaji
Hapa ni sehemu ya kuvumiliana na kuelimishana tu.Una linganisha viral disease na parasite? Tena corona ni pandemic. Malaria una imaliza kwa neti na fumigation
Hakuna ulichoelewa hapa. Empty setUshamba tu ndo unatucost. Ni nani umemsikia anapinga hatua za kujikinga na malaria?
Halafu uwage na akili. Covid imestrike zaidi Ulaya,,lakini malaria ulaya ni kama hakuna. Wewe unategemea mzungu akutangulize wewe na malaria yako aache ugonjwa unaomsumbua yeye?
Wewe umesaidiwa kutafuta chanjo,, nenda kachome kama ulivyochoma surua na pepopunda, zote hizi zimetoka ulaya.
Shughulisha mbongo yako.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Unaimaliza wapi mkuu.Una linganisha viral disease na parasite? Tena corona ni pandemic. Malaria una imaliza kwa neti na fumigation
Marekani wali declare malaria free 1960, ni uzembe wetuUnaimaliza wapi mkuu.
Malaria imewahi kuisha hii nchi ?
Mafua ya kawaida sio viral disease?
Mortality rate ya Malaria unailinganisha na ya COVID-19 ?
Kama Mortality rate ya Malaria ni kubwa zaidi mbona kwenye malaria tumetulia na wala hakujawahi kuwa zoezi la nchi lenye ulazima wa maeneo yote hatarishi kupigwa dawa na kuua mbu.