Tuwekee hio katiba mpya.Mkuu, wameshafanya mabadiliko. Dayosisi zote zitatumia Katiba moja. Na kuanzia sasa, hiyo nafasi aliyopata Malasusa, ina nguvu Tanzania nzima. Yaani, anakuwa ana nguvu kuwazidi Maaskofu wote! Ana uwezo hata wa kumuwajibisha Askofu wa jimbo lolote!
Bagonza AJIANDAE!