Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,730
- 2,230
Malasusa ni MnyakyusaKanisa au tasisi ikiwa na wachaga wengi au ikiogozwa na mchaga..jua mmepigwa..hao jamaa wanajua pesa tu ndio Mungu anafata..wazee wa janja janja na upigaji pesa mbele..poleni wanaKKT.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi kaambukizwa upigaji na wachaga mana ndio waliomzuguka humo kkkt.
point yako ni nini?. nikifa nitakosa sheikh wa kuja kuniswalia?, nitakosa kasisi, mchungaji au padre wa kuja kuombea maiti yangu?.Wewe hapo ndugu yako akifa unawanyenyekea madheikh na makasisi kama vile ndio wenye funguo za kuzimu.
Mpaka sasa sijawahi kuona mtanzania anayezikwa Kama mbwa, yaani bila ibada.
Labda wewe utakua wa kwanza.
ni nani alikwambia Mungu anapatikana kanisani tu..Kwani kanisani unaenda kumuomba Mungu au kumuomba mwanadamu?
Unaenda kanisani kwa ajili ya mtu au Mungu?
Palipokusanyika watu wawili kwa ajili yangu nami nipo kati yao .ni nani alikwambia Mungu anapatikana kanisani tu..
Unataka kuniambia wagogo Kama wewe Countrywide hakuna wezi?Acha ikugawe tu, huko kumejaa wachagga . Ndio maana mnapigwa
Siku hiyo ifike harakapoint yako ni nini?. nikifa nitakosa sheikh wa kuja kuniswalia?, nitakosa kasisi, mchungaji au padre wa kuja kuombea maiti yangu?.
kwa taarifa yako nikifa maiti yangu itagombaniwa na viongozi wa kiroho wa dini zote kubwa hapa nchini.
kila mmoja atadai mimi nilikuwa muumini wao.
Uoga na ujinga tu ndio unawafanya ndugu wengi wa marehemu waamini ndugu yao akizikwa na Kasisi au Sheikh anakuwa amefika mbinguni. Wahindu wao wanachoma moto.Wewe hapo ndugu yako akifa unawanyenyekea madheikh na makasisi kama vile ndio wenye funguo za kuzimu.
Mpaka sasa sijawahi kuona mtanzania anayezikwa Kama mbwa, yaani bila ibada.
Labda wewe utakua wa kwanza.
hahahaaahaa wasipokuelewa hawa Wayahudi weusi basi inabidi wazimuliwe mabanzi ya vichwa ili akili iwakae sawatukiwaambia madhara ya kujiunga na vikundi vya unyang'anyi vinavyotumia majina mazuri(kanisa) kuficha uhuni wao, mnatuona wajinga..
kanisa ni wew mtu, si jengo hakuna ktk bibkia walposema uende mjengon(mnakoita makanisan) sasa uko kutapeliwa mnakutaka wenyew kwa kupingana na mandiko, sadaka ya kwel nyakat hzi ni kwa masikini, wajane, mayatima, wagonjwa, na wenye shida na sio huko magengeni ambako Mungu hakutambui,,mtaendelea kulipishwa michango mpka mpauke, na baraka hamtozipata ng'ooooooooooo.....NINGEKUWA RAIS, NINGEAMULU IZI DINI ZOTE ZIFUKUZIWE MBALIView attachment 1944458
Wahindu wanachoma baada ya ibada hekaluni.Uoga na ujinga tu ndio unawafanya ndugu wengi wa marehemu waamini ndugu yao akizikwa na Kasisi au Sheikh anakuwa amefika mbinguni. Wahindu wao wanachoma moto.
Hako kamalasusa ni kakada kindakindaki kaCCM, sijui kanakwama wapi?
Kwan kuna ubaya gani akilileta huku kwan wanaochangia hapa sio waumini au raia wanaohusika na hili swala?!Kiongozi kwani kila kitu ni cha kupeleka mitandaoni? Mengine si maliza katika ngazi zenu? Kuyaleta hapa unaongeza faida kwa kanisa lako? Huo mchango mmelazimishwa?
πππKwenye hili deni ni lazima.
JiraniLeo walikuwa hapo mkuza? Yaani huko benk wanachota kwa vimemo madeni yanaturudia, tuwalaani.
Kwani Kanisa halina Wakaguzi wa Mahesabu?Leo tuliitwa sehemu tukaambiwa Dayosisi ya mashariki na pwani ina deni la bilion 1.6
Haijulikani ni deni limetokana na nini. Hatukupewa kabisa nafasi ya kuhoji,. Yani imepigwa blaa blaa tu na kuambiwa tuchangie kulipa hilo deni.
Deni limegawanywa kila kituo yani sharika na mitaa, na inatakiwa liwe limelipwa ndani ya miezi 2.
Nmeumia sana kwasababu ni hela nyingi sana na ni mzigo kwa washarika ambao wanajithidi kuinua sehemu zao za kuabudia lakini wanabebeshwa zigo lingine ambalo halijulikani linatokana na nini,
Malasusa mimi nlikuwa nakuunga mkono sana ila kwa hili umenikwaza sana. Unawapa wakati mgumu sana Wainjilisti na wachungaji wako. Hebu fikiria Mwinjilisti au mchungaji anaenda kuwambia washarika tunatakiwa kulipa milioni 10 bila kuambiwa inatokana na nini?
Hapo makao makuu ya Dayosisi napo sijui pana shida gani maana katibu mkuu hajahudumu hata miaka 2 tayari tukasikia nafsi ya katibu mkuu iko wazi.
Mnatukosea sana! Hata kama mnapiga lakini hiyo ni too much.