Malasusa unachoifanyia Dayosisi yako Mungu atakulipa

Malasusa unachoifanyia Dayosisi yako Mungu atakulipa

Malasusa ni mwanaccm mwenzenu na kuna uwezekano mkubwa hio pesa ilikua itumike kwenye campaign za akina Makonda
Kwahiyo Bagonza nae kule Karegwe kwakuwa ni chadema pesa zile zimetumika kumkampenia Lisu?

Au unataka tuanike ufisadi wake hapa?
 
Binafsi silipi,nitatoa sadaka ya wiki na fungu la kumi tu hayo mengine watajua wenyewe
 
Dini ni laana tulioletewa waafrika, mungu ni mmoja dini zetu za kuabudu chini ya mti zilikua ni bora kuliko huu upuuzi toka kwa wanyonyaji .
 
Leo tuliitwa sehemu tukaambiwa Dayosisi ya mashariki na pwani ina deni la bilion 1.6
Haijulikani ni deni limetokana na nini. Hatukupewa kabisa nafasi ya kuhoji,. Yani imepigwa blaa blaa tu na kuambiwa tuchangie kulipa hilo deni.

Deni limegawanywa kila kituo yani sharika na mitaa, na inatakiwa liwe limelipwa ndani ya miezi 2.

Nmeumia sana kwasababu ni hela nyingi sana na ni mzigo kwa washarika ambao wanajithidi kuinua sehemu zao za kuabudia lakini wanabebeshwa zigo lingine ambalo halijulikani linatokana na nini,

Malasusa mimi nlikuwa nakuunga mkono sana ila kwa hili umenikwaza sana. Unawapa wakati mgumu sana Wainjilisti na wachungaji wako. Hebu fikiria Mwinjilisti au mchungaji anaenda kuwambia washarika tunatakiwa kulipa milioni 10 bila kuambiwa inatokana na nini?

Hapo makao makuu ya Dayosisi napo sijui pana shida gani maana katibu mkuu hajahudumu hata miaka 2 tayari tukasikia nafsi ya katibu mkuu iko wazi.

Mnatukosea sana! Hata kama mnapiga lakini hiyo ni too much.
Bei ya iPhone 13 ni shingap
 
Ndugu zangu, kanisa haliendeshwi hivyo kama mnavyodhani. Kanisa la KKKT kila Dayosisi ina Katiba yake na miongozo mbalimbali.

Huyu ndugu anayeleta tuhuma za viongozi wa kanisa kula fedha na kuwabambikia deni ni utovu wa nidhamu na ni kinyume na maandiko.
KKKT ni miongoni mwa madhehebu ya dini yenye utaratibu mzuri sana katika uendeshaji wa kanisa na usimamizi wa fedha za kanisa. Moja wapo ya njia bora wanayotumia ni kuweka wazi mapato na matumizi ya fedha kwa kusomwa Ibadani kila Jumapili na kuandaliwa taarifa ya mapato na matumizi ya kila robo mwaka, nusu mwaka na ya mwaka.

Lengo ni kuwapa nafasi washarika kujua mapato na matumizi ya fedha wanazotoa kama sadaka na michango mbalimbali. Pia masuala yote ya matumizi ya fedha yanafanyika chini ya usimamizi wa Kamati husika, mfano kama ni suala la ujenzi muhusika hapa ni Kamati ya ujenzi au miradi.

Kamati hizi zinaundwa na washarika wenyewe kupitia mabaraza ya wazee na mchungaji wao. Pia utaratibu ndio huo huo hadi ngazi ya Jimbo na Dayosisi.

Muhimu kuzingatia kuwa sharika, majimbo, Dayosisi na vituo vyake vyote hesabu zake ukaguliwa na wakaguzi wenye weledi na masuala ya fedha na uhasibu.

Mleta mada anasema wameelezwa juu ya deni bila ufafanuzi kuwa limetokana na nini. KKKT wana njia nyingi za kupokea maoni, ushauri, mapendekezo na ukosoaji ikiwemo mkutano mkuu wa mwaka kwa kila ngazi kuanzia Jumuiya hadi Dayosisi ambapo moja wapo ya kazi ya mkutano mkuu wa mwaka upitisha makadirio ya mapato na matumizi ya mwaka unaofuata na kupitia taarifa za fedha na miradi za mwaka unaoisha. Pia wakuu wa sharika na vituo ukaribisha maoni na mapendekezo wakati wowote msharika anapokuwa na jambo la kushauri kwa kwenda moja kwa moja ofisini kwa kiongozi husika.

Mara nyingi utakuta mikutano mikuu ya mwaka msharika haudhurii hivyo anakosa fursa ya kujua mipango ya kanisa lake siku akiambiwa kuwa kuna mradi haukufanya vema na kupelekea kuzalisha labda deni au kuna mradi umekwama kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo wafadhili kuchelewa kuleta fedha nk, ndipo utaona msharika hasiyewajibika ipasavyo anakimbilia kwenye mitandao ya kijamii na kutuhumu viongozi wa kanisa kula fedha. Hii si sawa kwani kwanza inadhalilisha kanisa la Mungu na kuwavunja moyo viongozi wanaokesha usiku na mchana wakifikiria juu ya kuzijengea uwezo wa kiuchumi sharika na Dayosisi zao.
Pia haisaidii kuleta suluhu zaidi ya upotishaji.

Namshauri mleta mada aende ofisi husika awasilishe maoni yake yatafanyiwa kazi na atapata ufafanuzi wa kina wa nini kilitokea hadi deni hilo kuwepo.
Mungu awabariki sana.
 
Ndugu zangu, kanisa haliendeshwi hivyo kama mnavyodhani. Kanisa la KKKT kila Dayosisi ina Katiba yake na miongozo mbalimbali.

Huyu ndugu anayeleta tuhuma za viongozi wa kanisa kula fedha na kuwabambikia deni ni utovu wa nidhamu na ni kinyume na maandiko.
KKKT ni miongoni mwa madhehebu ya dini yenye utaratibu mzuri sana katika uendeshaji wa kanisa na usimamizi wa fedha za kanisa. Moja wapo ya njia bora wanayotumia ni kuweka wazi mapato na matumizi ya fedha kwa kusomwa Ibadani kila Jumapili na kuandaliwa taarifa ya mapato na matumizi ya kila robo mwaka, nusu mwaka na ya mwaka.

Lengo ni kuwapa nafasi washarika kujua mapato na matumizi ya fedha wanazotoa kama sadaka na michango mbalimbali. Pia masuala yote ya matumizi ya fedha yanafanyika chini ya usimamizi wa Kamati husika, mfano kama ni suala la ujenzi muhusika hapa ni Kamati ya ujenzi au miradi.

Kamati hizi zinaundwa na washarika wenyewe kupitia mabaraza ya wazee na mchungaji wao. Pia utaratibu ndio huo huo hadi ngazi ya Jimbo na Dayosisi.

Muhimu kuzingatia kuwa sharika, majimbo, Dayosisi na vituo vyake vyote hesabu zake ukaguliwa na wakaguzi wenye weledi na masuala ya fedha na uhasibu.

Mleta mada anasema wameelezwa juu ya deni bila ufafanuzi kuwa limetokana na nini. KKKT wana njia nyingi za kupokea maoni, ushauri, mapendekezo na ukosoaji ikiwemo mkutano mkuu wa mwaka kwa kila ngazi kuanzia Jumuiya hadi Dayosisi ambapo moja wapo ya kazi ya mkutano mkuu wa mwaka upitisha makadirio ya mapato na matumizi ya mwaka unaofuata na kupitia taarifa za fedha na miradi za mwaka unaoisha. Pia wakuu wa sharika na vituo ukaribisha maoni na mapendekezo wakati wowote msharika anapokuwa na jambo la kushauri kwa kwenda moja kwa moja ofisini kwa kiongozi husika.

Mara nyingi utakuta mikutano mikuu ya mwaka msharika haudhurii hivyo anakosa fursa ya kujua mipango ya kanisa lake siku akiambiwa kuwa kuna mradi haukufanya vema na kupelekea kuzalisha labda deni au kuna mradi umekwama kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo wafadhili kuchelewa kuleta fedha nk, ndipo utaona msharika hasiyewajibika ipasavyo anakimbilia kwenye mitandao ya kijamii na kutuhumu viongozi wa kanisa kula fedha. Hii si sawa kwani kwanza inadhalilisha kanisa la Mungu na kuwavunja moyo viongozi wanaokesha usiku na mchana wakifikiria juu ya kuzijengea uwezo wa kiuchumi sharika na Dayosisi zao.
Pia haisaidii kuleta suluhu zaidi ya upotishaji.

Namshauri mleta mada aende ofisi husika awasilishe maoni yake yatafanyiwa kazi na atapata ufafanuzi wa kina wa nini kilitokea hadi deni hilo kuwepo.
Mungu awabariki sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nmecheka!

Hivi kwa akili yako unafikiri mimi sijui haya yote?

Na kwa taarifa yako mimi naweza kuwa hata kiongozi wako mkubwa tu!

Hilo deni ambalo dayosisi inadaiwa hawajasema limetokana na nini na limeamuliwa kulipwa ndani ya miezi 2 nje na hapo mali za dayosisi zinakamatwa.

Hebu niambie hapa DMP kuna mradi gani ambao umesababisha hilo deni lote la bilioni 1 na milioni 600?

Wewe kuna mambo mengi sana hujui.
 
hizi taasisis za kidini si zina auditing, basi yatajulikana yote ni suala la muda.
 
Leo tuliitwa sehemu tukaambiwa Dayosisi ya mashariki na pwani ina deni la bilion 1.6
Haijulikani ni deni limetokana na nini. Hatukupewa kabisa nafasi ya kuhoji,. Yani imepigwa blaa blaa tu na kuambiwa tuchangie kulipa hilo deni.

Deni limegawanywa kila kituo yani sharika na mitaa, na inatakiwa liwe limelipwa ndani ya miezi 2.

Nmeumia sana kwasababu ni hela nyingi sana na ni mzigo kwa washarika ambao wanajithidi kuinua sehemu zao za kuabudia lakini wanabebeshwa zigo lingine ambalo halijulikani linatokana na nini,

Malasusa mimi nlikuwa nakuunga mkono sana ila kwa hili umenikwaza sana. Unawapa wakati mgumu sana Wainjilisti na wachungaji wako. Hebu fikiria Mwinjilisti au mchungaji anaenda kuwambia washarika tunatakiwa kulipa milioni 10 bila kuambiwa inatokana na nini?

Hapo makao makuu ya Dayosisi napo sijui pana shida gani maana katibu mkuu hajahudumu hata miaka 2 tayari tukasikia nafsi ya katibu mkuu iko wazi.

Mnatukosea sana! Hata kama mnapiga lakini hiyo ni too much.

Wenyewe wakikaa chemba wanagonga mvinyo wanajipongeza kuwa Wajinga ndio Waliwao..
 
Jambo lingine ni Malasusa kuhamisha wachungaji atakavyo , hivi KKKT haina utaratibu ? mchungaji anahamishwa kwa mwaka hadi mara 4 , hivi hana watoto wanaosoma shule ? kila baada ya miezi mitatu unahamisha watoto shule , hili linawezekanaje ?
Yaani hii hamisha hamisha inakera kwakweli, mnaletewa mchungaji, ndio tu mnaanza kumzoea unasikia kahamishwa
 
Ndugu zangu, kanisa haliendeshwi hivyo kama mnavyodhani. Kanisa la KKKT kila Dayosisi ina Katiba yake na miongozo mbalimbali.

Huyu ndugu anayeleta tuhuma za viongozi wa kanisa kula fedha na kuwabambikia deni ni utovu wa nidhamu na ni kinyume na maandiko.
KKKT ni miongoni mwa madhehebu ya dini yenye utaratibu mzuri sana katika uendeshaji wa kanisa na usimamizi wa fedha za kanisa. Moja wapo ya njia bora wanayotumia ni kuweka wazi mapato na matumizi ya fedha kwa kusomwa Ibadani kila Jumapili na kuandaliwa taarifa ya mapato na matumizi ya kila robo mwaka, nusu mwaka na ya mwaka.

Lengo ni kuwapa nafasi washarika kujua mapato na matumizi ya fedha wanazotoa kama sadaka na michango mbalimbali. Pia masuala yote ya matumizi ya fedha yanafanyika chini ya usimamizi wa Kamati husika, mfano kama ni suala la ujenzi muhusika hapa ni Kamati ya ujenzi au miradi.

Kamati hizi zinaundwa na washarika wenyewe kupitia mabaraza ya wazee na mchungaji wao. Pia utaratibu ndio huo huo hadi ngazi ya Jimbo na Dayosisi.

Muhimu kuzingatia kuwa sharika, majimbo, Dayosisi na vituo vyake vyote hesabu zake ukaguliwa na wakaguzi wenye weledi na masuala ya fedha na uhasibu.

Mleta mada anasema wameelezwa juu ya deni bila ufafanuzi kuwa limetokana na nini. KKKT wana njia nyingi za kupokea maoni, ushauri, mapendekezo na ukosoaji ikiwemo mkutano mkuu wa mwaka kwa kila ngazi kuanzia Jumuiya hadi Dayosisi ambapo moja wapo ya kazi ya mkutano mkuu wa mwaka upitisha makadirio ya mapato na matumizi ya mwaka unaofuata na kupitia taarifa za fedha na miradi za mwaka unaoisha. Pia wakuu wa sharika na vituo ukaribisha maoni na mapendekezo wakati wowote msharika anapokuwa na jambo la kushauri kwa kwenda moja kwa moja ofisini kwa kiongozi husika.

Mara nyingi utakuta mikutano mikuu ya mwaka msharika haudhurii hivyo anakosa fursa ya kujua mipango ya kanisa lake siku akiambiwa kuwa kuna mradi haukufanya vema na kupelekea kuzalisha labda deni au kuna mradi umekwama kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo wafadhili kuchelewa kuleta fedha nk, ndipo utaona msharika hasiyewajibika ipasavyo anakimbilia kwenye mitandao ya kijamii na kutuhumu viongozi wa kanisa kula fedha. Hii si sawa kwani kwanza inadhalilisha kanisa la Mungu na kuwavunja moyo viongozi wanaokesha usiku na mchana wakifikiria juu ya kuzijengea uwezo wa kiuchumi sharika na Dayosisi zao.
Pia haisaidii kuleta suluhu zaidi ya upotishaji.

Namshauri mleta mada aende ofisi husika awasilishe maoni yake yatafanyiwa kazi na atapata ufafanuzi wa kina wa nini kilitokea hadi deni hilo kuwepo.
Mungu awabariki sana.
Wacha kujaza watu ujinga maandiko gani yameelekeza watu wakae kimya wakiona mambo hayako sawa nilichobaini we jamaa kuna uwezekano mkubwa ni mnufaika kwa namna moja au nyingine katika Unyonyaji huu nakukemea kwa jina la Yesu alie hai acheni hizo mambo wazee mnafanya watu wakashifu bure hao unaowaita viongozi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nmecheka!

Hivi kwa akili yako unafikiri mimi sijui haya yote?

Na kwa taarifa yako mimi naweza kuwa hata kiongozi wako mkubwa tu!

Hilo deni ambalo dayosisi inadaiwa hawajasema limetokana na nini na limeamuliwa kulipwa ndani ya miezi 2 nje na hapo mali za dayosisi zinakamatwa.

Hebu niambie hapa DMP kuna mradi gani ambao umesababisha hilo deni lote la bilioni 1 na milioni 600?

Wewe kuna mambo mengi sana hujui.
Hawa wanaitwa wanafiki binafsi sioni sababu ya kujitia mzigo wa kudaiwa na kanisa
 
Religion is a Man made way of worshipping God
So because a wise man questions everything as is so ordered of us in the holy writ, a wise man can’t trust in anything man made including Religion, Although he Be a Theist.
A wise man Trusts in One Person alone and that is God alone.

Do not wait till you are Old enough to know these things.

Rulers/ politicians Are opportunistic people, using anything and everyone to their gain..
I say if God was to be lied to, politicians would choose to USE Him as well... Idiocy.

Common people who are ignorant of human nature and of themselves are of the fact that they can easily be deceived by other people, are easy to trust and are too emotional that Clever( not necessarily Wise) people may put them to Use as material objects.
Pumba
 
Wewe ndo malasusa mwenyewe nini, Kuleta hapa ni sahihi sababu watakua na heshima ya matumizi ya sadaka, Nyie ndo mnafanya dini kuonekana ni takataka na utapeli
Kiongozi kwani kila kitu ni cha kupeleka mitandaoni? Mengine si maliza katika ngazi zenu? Kuyaleta hapa unaongeza faida kwa kanisa lako? Huo mchango mmelazimishwa?
 
Back
Top Bottom