Malasusa unachoifanyia Dayosisi yako Mungu atakulipa

Malasusa unachoifanyia Dayosisi yako Mungu atakulipa

Makanisa mengi yanahitaji referendum mpya ya kuliendesha unakuta mama hajiwezi akifika misa jumapili kila kiongozi anayesimama ni kusisitiza michango tu hapo hata uwepo wa kiibada unatweka
Makanisa ya sikuhizi wao ni michango bila kujali Hali za waumini nakuwasaidia Matokeo watu wanasikia uvivu kwenda kanisani.
 
Hipati bwana hapa!

Hata ujipitishe vipi hupati bwana.

Tuache kwanza utani na siasa Pembeni. kiukweli marehemu Askofu Laizer alikua ni zaidi ya baba kwangu. Ndiye alinifungisha ndoa na tulifanya mengi kwa ustawi wa KKKT huko kaskazini.
 
Tuache kwanza utani na siasa Pembeni. kiukweli marehemu Askofu Laizer alikua ni zaidi ya baba kwangu. Ndiye alinifungisha ndoa na tulifanya mengi kwa ustawi wa KKKT huko kaskazini.
Mimi sina mke mjinga kama wewe
 
Hawa jamaa hovyo kabisa utafikiri hawana wataalamu wa uchumi.

Wachaga ni watu wabaya sana, walichoifanyia dayosisi ya kaskazini kwenye hilo deni

Halafu dayosisi aliyoongoza askofu Laizer haikuwa ya wachaga usikariri, unajua Kule kaskazini kuna dayosisi ngapi? Unajua kati ya hizo dayosisi maaskofu wachagga ni wangapi? Acha chuki za kipuuzi zidi ya wachagga ndugu.
 
Halafu dayosisi aliyoongoza askofu Laizer haikuwa ya wachaga usikariri, unajua Kule kaskazini kuna dayosisi ngapi? Unajua kati ya hizo dayosisi maaskofu wachagga ni wangapi? Acha chuki za kipuuzi zidi ya wachagga ndugu.
Wewe huna cheo chochote pale KKKT ni kidagaa tu so hujui lolote
 
Kanisa limejaa wachagga, unategemea nini hapo?
Mimi siyo Mchagga, ila nafahamu siyo Wachagga wote wenye kutafuta fursa katika KKKT. Wachagga katika KKKT-DMP ndio wanaoongoza kuchangia shughuli za Maendeleo na ujenzi wa makanisa mapya, kuwasema vinginevyo kwa ujumla wao mtakuwa hamuwatendei haki kwani hata wao ni sehemu ya kulipa Hilo DENI.
 
Wewe huna cheo chochote pale KKKT ni kidagaa tu so hujui lolote

Yule shetani wa CHATO aliwaharibu sana hawara zake kiasi kwamba ili Mtu awe chochote mbele yenu ni lazima awe na cheo sivyo?

Kwa nafasi yangu kabla sijaondoka bongo nimekuwa mjumbe wa bodi mbalimbali ndani ya dayosisi kadhaa za KKKT hivyo ninalijua vizuri kanisa hilo.

Nimekuuliza kisomi umeruka ruka tu hapa je ni maaskofu wangapi wachagga huko kaskazini? Dayosisi ngapi za KKKT zinaendeshwa na wachagga? Ni wachagga wangapi wamekua wakuu wa KKKT ukimtoa Dr Shoo?

Chuki Zako dhidi ya wachagga hazitakusaidia we changudoa
 
Yule shetani wa CHATO aliwaharibu sana hawara zake kiasi kwamba ili Mtu awe chochote mbele yenu ni lazima awe na cheo sivyo?

Kwa nafasi yangu kabla sijaondoka bongo nimekuwa mjumbe wa bodi mbalimbali ndani ya dayosisi kadhaa za KKKT hivyo ninalijua vizuri kanisa hilo.

Nimekuuliza kisomi umeruka ruka tu hapa je ni maaskofu wangapi wachagga huko kaskazini? Dayosisi ngapi za KKKT zinaendeshwa na wachagga? Ni wachagga wangapi wamekua wakuu wa KKKT ukimtoa Dr Shoo?

Chuki Zako dhidi ya wachagga hazitakusaidia we changudoa
Huyo shetani wako wa chato alikuchapa akiwa hai na bado anakuchapa akiwa mfu ndio maana huuachi kumtaja.

Narudia tena, wewe huna cheo chochote, popote ndani ya KKKT ni kidagaa tu so hujui chochote.
 
Back
Top Bottom