Malawi: Mahakama ya Katiba yabatilisha matokeo ya Uchaguzi wa Urais wa nchi hiyo uliofanyika Mei 21 mwaka 2019

POST yangu ya asubuhi niliandika Tanzania hatufikii hata robo ya siasa za Malawi, mahakama leo imetengua ushindi wa Rais hivyo uchaguzi kufanyika ndani ya siku 150 toka leo.
Sahauu
 
POST yangu ya asubuhi niliandika Tanzania hatufikii hata robo ya siasa za Malawi, mahakama leo imetengua ushindi wa Rais hivyo uchaguzi kufanyika ndani ya siku 150 toka leo.
Katiba yao ina ruhusu,na sisi katiba ingeruhusu na mahakama ikajiridhisha kuna shida ingetengua tu mkuu.

macson
 
Hili ni fundisho kwa mahakama zetu kuwa huru. Ingekuwa hapa ungesikia ooh mgogoro wa kikatiba na blabla zingine. Suala tu la madedi mahakama zetu hazikuonesha weledi
Wewe ni muongo, kwasasa wanaendelea na uhakiki wa kura zilizopigwa wakati wa uchaguzi na kesho saa 10 jioni watatoa majibu either uchaguzi utenguliwe au la.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
POST yangu ya asubuhi niliandika Tanzania hatufikii hata robo ya siasa za Malawi, mahakama leo imetengua ushindi wa Rais hivyo uchaguzi kufanyika ndani ya siku 150 toka leo.
Halafu kwa uhuni kama huu, mi empty set inasema mabeberu watuache na siasa zetu!! Viongozi wa afrika ni wepesi mno kama, tume za uchaguzi na mahakama zikiwa huru!!!
 
Sis tu ndo tumebaki na mambo ya kale sijui kiswahili ndo kimetudumaza
 
Halafu kwa uhuni kama huu, mi empty set inasema mabeberu watuache na siasa zetu!! Viongozi wa afrika ni wepesi mno kama, tume za uchaguzi na mahakama zikiwa huru!!!
Kumbe inawezekana jamani
 
Katiba yao ina ruhusu,na sisi katiba ingeruhusu na mahakama ikajiridhisha kuna shida ingetengua tu mkuu.

macson
Kuna mahakama hapa bwana?!! Tatizo sio katiba, jaji analiogopa bunge, eti ataleta mgogoro wa kikatiba?!! Kuzuia mbunge kuvuliwa ubunge?mahakama inaambiwa kusanyeni pesa toka kwa watuhumiwa, na mimi nitawapa 10% ya fedha hiyo!!!
 
Mungu ibariki Malawi
 
Mahakama za tanzania ni ujanja ujanja tu,,,hakuna haki..zinaongozwa na serikali ya maccm,ndio shida..nchi zingine mfumo wa mahakama unajitegemea kimaamuzi,
Hakimu/jaji anategemea huruma ya uteuzi toka kwa muhimili mwingine! Awe jaji wa mahakama kuu au jaji wa mahakama ya rufaa!!
 
Hili ni fundisho kwa mahakama zetu kuwa huru. Ingekuwa hapa ungesikia ooh mgogoro wa kikatiba na blabla zingine. Suala tu la madedi mahakama zetu hazikuonesha weledi
Sasa Mahakama zetu zijifunze kipi kutoka kwa Mahakama za Malawi. Mahalama inatenda kwa Mujibu wa nguvu ilizopewa na Katiba, kama kuna chombo cha kujifunza hapo ni bunge, siyo Mahakama.
Bunge libadili hicho kipengele cha Katiba ili kuruhusu matokeo ya uchaguzi wa rais kuhojiwa au kupingwa Mahakamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…