Malawi wameweza, Tanzania tunafuatia

Umeonaeeeee? Mataga wanajiondoa ufahamu kisa kupata mkate wao wa kila siku
Usijitoe ufahamu tatizo ni tume ya uchaguzi fala kabisa wewe
 
Tunaheshimu mawazo yako
Yaani tumtoe ikulu Magufuli halafu tumuweke nani, Mbowe, Lissu, Msigwa au Nyarandu? hii itakuwa wendawazimu kabisa kwa sasa tuacheni, mkajipange vizuri tukutane 2025.
 
Umemaliza kazi zoote
Usisahau Pamoja na PH.d zao walizonazo viongozi wetu lkn wao ndio walikua watu wa kwanza kwenda kwa yule Rais wa Madagascar ambae ni DJ kunywa ile Dawa ya Covid.
 
Wananchi wa Tanzania hawajui wanataka nini?
Au
Hawajui aina ipi ya uongozi wanautaka
 
Watakuwa wanajiandalia tiketi ya kwenda The Hague, huwezi kuwaua watu alafu ukabaki salama
Kwanza hakuna watanzania wenye moyo wa kuandamana kudai tume, wengi wanaamini kazi ya kudai tume huru ni ya wanasiasa.
 
Mkumbushe labda alikuwa nje ya nchi
Usisahau Pamoja na PH.d zao walizonazo viongozi wetu lkn wao ndio walikua watu wa kwanza kwenda kwa yule Rais wa Madagascar ambae ni DJ kunywa ile Dawa ya Covid.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…