sanje
JF-Expert Member
- May 12, 2018
- 458
- 340
Chama bora kwa kuiba kura na kulazimisha matokeoUsifananishe Tanzania na vitu vya hovyo
Unajua kuwa Ccm ndio chama bora zaidi Africa ! na cha pili duniani kwa ubora !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama bora kwa kuiba kura na kulazimisha matokeoUsifananishe Tanzania na vitu vya hovyo
Unajua kuwa Ccm ndio chama bora zaidi Africa ! na cha pili duniani kwa ubora !
Usijitoe ufahamu tatizo ni tume ya uchaguzi fala kabisa weweKwa upinzani huu mtasubiri miaka 25 kutoka sasa
Kipimo tukutane Oktoba 25 sanduku la kura likitoa majibu
Kuwa Mpinzani kwa Afrika kubali yote ikiwemo kufa kabisa ili mradi umejitoa kizazi chako kipone
Mlivyo waoga hivyo[emoji115][emoji115]
umejitoa ufahamu wewe ambaye unajifanya unajua wakati hujuiUsijitoe ufahamu tatizo ni tume ya uchaguzi fala kabisa wewe
Wananchi wa Tanzania hawajui wanataka nini?Mgombea wa Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Malawi (MCP) Dr. Lazarus Chakwera anaongoza kura kwa zaidi ya 60% dhidi ya Prof. Peter Mutharika anayetakiwa kuondoka Ikulu ya Malawi wakati wowote kuanzia sasa.
Hatua hii ni baada ya Mahakama kutengua Ushindi wa hujuma uliofanywa na Serikali ya Chama tawala cha DPP chini ya Prof. Peter Mutharika anayeondolewa Ikulu.
Malawi wamemaliza Kazi yao!
Muda ni hakimu mzuri, watanzania tujiandae kuyapokea mageuzi ya kiuongozi.
Kwanza hakuna watanzania wenye moyo wa kuandamana kudai tume, wengi wanaamini kazi ya kudai tume huru ni ya wanasiasa.Watakuwa wanajiandalia tiketi ya kwenda The Hague, huwezi kuwaua watu alafu ukabaki salama
Hata wewe uko chini ya CCM bwashee..... Utake usitake!Inakutosha wewe na mkeo