Malcom Lumumba Live: Tusemezane...

Heri ya mwaka mpya.
Binafsi sina swali ila napenda kukupongeza kwa kwazi zako mkuu. Wewe ni miongoni mwa watu ninaowakubali humu jf kwa kutoa nyuzi makini.

HONGERA MKUU
 
Sawa mkuu. Ila sijazungumzia uzuri, style and design, kuna design za vijana kama zile wanaita Supra halafu nyekundu.
Hahaha,.
Sivai Supra mkuu.
Huwa navaa viatu vya mazoezi na buti tu.
 
Heri ya mwaka mpya.
Binafsi sina swali ila napenda kukupongeza kwa kwazi zako mkuu. Wewe ni miongoni mwa watu ninaowakubali humu jf kwa kutoa nyuzi makini.

HONGERA MKUU
Ahsante sana mkuu.
Appreciate this ....
 
Mungu yu mwema kwanza heri ya mwaka mpya na kwako pia mm nina kaswali kangu kadogo tu kama kameulizwa huko utanisamehe nilikua natamani kukuuliza hili swali bora umetupa uwanja

Una miaka mingapi? huwa nawaza kama mtu mzima flani hiviii yaan usiyependa kuzeeka ni hilo tu hata ukiwa kaben10 niambie tu
 
Wow....
 

Ahsante sana Shunie,
Umenichekesha sana ndugu yangu.
Mimi ni ntu mzima lakini siogopi kuzeeka hataa!

Nakuwa hivi unavyoniaona hapa kwasababu naamimi ili mwanadamu ufurahie Maisha hapa duniani ni lazima uwe na uone mpana usio na mipaka katika kila jambo.

My life is simply connected and deeply imbedded to a great pond called LIFE OF PURPOSE. Hivyo nafurahia sana busara za Uzee na Kuipenda kufikiri kama mzee, huku nikimuomba Mola anipe nguvu ya kufanya kazi na kutimiza majukumu kama kijana mdogo na mwishowe kabisaa nafurahia maisha kama kitoto kichanga ambacho hakifikirii matatizo ya leo na kutoyaogopa majanga ya kesho..

NB: Nisipokuwa hivi basi sintakuwa MALCOM LUMUMBA unayeniona leo hii,...Life has many faces and my heart is just passionate to see reflect all of them at once.
 
Asante sana nimekuelewa vizuri kwahiyo unaweza kuwa sawa na babu yake keanu lemutuz eenh usinichoke jaman
 
Hizi sifa unataka nini?
 
Vipi mwendelezo wa ile thread yako uliyoapa kutompiga mwanamke ?

Mkuu kuandika kunachosha sana.
Hasahasa kusimulia matukio ya nyuma.
Nikipata wasaa nitakuja kumalizia tu.....
 
ahsante kwa maelezo yako mkuu,

kutokana na hali inayoendelea Syria ikiwa kwa asilimia kubwa utawala wa Al Assad umefanikiwa kubaki madarakani,na wameweza kukomboa eneo kubwa toka mikononi mwa waasi na wanamgambo.Ila Marekani wamegoma kuondoka
nini Syria anaweza kufanya kulazimisha Marekani aondoke.

Pia elezea nini kinaendelea Iran na maandamano yake...je kwa maoni yako kuna dalili za kuanguka kwa utawala wa Iran
kama tawala za Iraq na Libya???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…