Malengo hasa ya kuzaa watoto wengi ni nini?

Ni bora kuwa na watoto wengi maana kati ya hao watoto 6 ulionao hawawezi wakakutupa wote.

Lazima kuna watoto 2 au 3 kati ya hao lazima watasimama na wewe hadi mwisho.

Watakuangalia na kukujali kama mazazi.
 
😁
 
Kuzaa watoto ili wakusitiri nao ni uzembe. Andaa mifumo ndio ije ikusitiri.
 
Sahihi kwa kiasi kikubwa
 
Ivo yaan😘
 
Wanazaa watoto wengi wanaanza kupiga vizinga vya ada za watoto


Na ndio Hawa Hawa hata bima za watoto ni mgogoro
 
Dahhhh....
Nime sikitika sana kuchelewa kushiriki kwenye huu uzi.
Ebu ngoja niwe msomaji tu sasa.
 
Wanazaa watoto wengi wanaanza kupiga vizinga vya ada za watoto


Na ndio Hawa Hawa hata bima za watoto ni mgogoro
Kipimo cha watoto wengi ni kuanzia wangapi mkuu??
Lakini pia minaona bora mtu asizae ikiwa kama hawezi kuhudumia wanawe.
 
Maisha yamebadilika hakuna mtoto utakae mzaa bila kumuandaa kwa kumsomesha na kumpa mahitaji ya muhimu na kuja kumpa Chanel ya baada ya kusoma hayo yoye yanaitaji pesa Haina umuhimu unazaa watoto wengi unakuja kuwatesha kwa kushindwa kuwahudumia

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Bwashee, kila mtu si anaishi anavyojua au? Mie nina watoto 3 tu, ingawa sielewi kwa nini mtu anakuwa na watoto wengi, siwezi wahukumu maana ni maisha yao.
Wengi wanaozaaa watoto wengi wana maisha ya kuunga unga. Sijawahi one matajiri au watu wa kipato cha kati wanazaa watoto wengi.
Kuzaa watoto wengi sio ganatiii kuwa watakusaidia baadae. Zaa watoto unaoweza kuwatunza na kuwapatia mahitaji yote muhimu. Kuna watu maisha yao yote wanalea watoto sababu ya kuwa na watoto wangi. Anashindwa hata kujiwekea akiba. Unakuta una watoto saba hadi 10 lakini ukilazwa hospital hawawezi changia hata laki 2 za matibabu.
 
Viongozi wetu karibia wote wamesoma kayumba, lakini wengi ni wezi na wabadhilifu wa mali za umma.
 
Ni bora kuwa na watoto wengi maana kati ya hao watoto 6 ulionao hawawezi wakakutupa wote.

Lazima kuna watoto 2 au 3 kati ya hao lazima watasimama na wewe hadi mwisho.

Watakuangalia na kukujali kama mazazi.
Sio wote wana hiyo bahati. Wengine wana watoto hata 7 lakini wametelekezwa na wtoto wao.
 
Sio wote wana hiyo bahati. Wengine wana watoto hata 7 lakini wametelekezwa na wtoto wao.
Asilimia ya bahati ya maisha ni ndogo Sana maisha yamebadilika Sana hao watoto utakao zaa 6 mpaka 7 unawaandaje na maisha yao? Kama ni elimu inaitaji pesa na hata ukimsomesha akimaliza bado swala la kupata kazi ni shida na ukitaka apate kazi ya maana lazima utumie pesa ya kumpa hio kazi hio bahati inatoka WAP? Kila siku watu wanamaliza chuo wanaingia mitaani wengine wanajifunza utapeli kupitia elimu yao na wengine wanaingia kwenye ulevi kutokana na stress za kusoma na hamna kazi hakuna bahati inayokuja kwa maisha ya Sasa bila ya kuiandaa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa namjibu huyo anayesema ukizaa utapata wa kukutunza uzeeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…