MICHAEL SON
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 458
- 536
- Thread starter
-
- #41
Counseller wangu amenambia if I want ot for serious lazima iwe slow process ikiwa over sudden utakua umepumzika soo nataka niache kabise then ndo ntafute Mtoto wa KISUKUMA NIWEKE NDANI!...unatesaje mtoto wa watu kwani unaoa zezeta? chukua hatua... nilitee kadi ntakuchangia
Inshaaaalahmungu akufanyie wepesi mkuu
MKUU naomba ninukuu!.. "OA RAFIKI YAKO UNAE MUHITAJI NJE YA KITANDA" Thank youMi nakushauri usiache chochote hapo bali ufanye kwa kiasi. kila kimoja hapo kinakamilisha maisha. la utajikuta unajizuia kitu hadi ni kama unajiandaa kuishi tena baada kutoishi huku. anza kunywa kwa kias hasa kwako na uache kunywa kikampan vya leta kama tulivyo. pili fanya ngono kwa kias. kwamba mhusika amekuvutia na si tu ukojoe. tatu beti mpira tu.
Usikose kubet jackpots za 100 au 1000 na ujue utafidia wapi hicho kias kidogo kama kuhairisha bia 1 tu, au bet mechi 1 tu odd ya uhakika tia kamzigo kakubwa hutajuta sana hata kama utapata kidogo. ni biashara hiyo, ni utafutaji. ila kamwe usioe ili upate k ya uhakika, utaikinai. oa rafiki yako unayemwitaji nje ya kitandan. LIVE RESPONSIBLY! {Life has got only one formula, which t is; NO FORMULA}
Hii nimejaribu miaka 3,na Nina demu ni kama mama Mchungaji hajui natumia.ni kazi ,Kazi,kaziiiii kuacha hii kitu.Hiyo no 1 inanisumbua mno.
Hii nayo ni shida,nina wanawake 6,na 3 ni wake za atu ambao ndani hawapati dyudyu vzr.Mikuno yangu imewachanganyaMi ni no 2 pekee ndo inanitesa sana vingine vyote situmii ila kwa mwezi natumia elf 20 tu kwenye hilo suala
Wake za wat achana nao dili na hawa wa kitaa wapakie vumbi la kongo kabsaHii nayo ni shida,nina wanawake 6,na 3 ni wake za atu ambao ndani hawapati dyudyu vzr.Mikuno yangu imewachanganya
Uwe unaendelea kutupatia mrejesho hili uwafungue hawa jamaa wabishi watoke kwenye kifungo cha KuzimuNINA ACHA KABISAA ,,,, NIMEAMUA
Kumbuka hajaoa je zina ni suna?
Epuka zinaaHayo ya zinaa anayajua MUNGU mwenyewe ndo atahukumu.
Kwani dhambi NI zinaa tu?.
Kuacha kubet ni ngumu mno mkuu,kwani ukiona fixture tu,Akili lazima 'ziruke',Mimi nlikua na mpango huo wa kuacha lakini nimeshidwa.Wakuu salaam!
Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya:
1. Pombe
2. Umalaya
3. Ku-bet
Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga.
Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi nilizotenda na nilizonazo natamani hata nisali Dini zote!
MARRY X MASS & HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE
NB: MNIWEKE KATIKA MAOMBI
Mtumishi umetisha!😀✌🔥Kwa malengo haya makini ujue malaika wa nuru Paradiso wanapongezana na kushangilia kwa machozi ya furaha kwa kuongeza idadi ya raia wa Ufalme. But, resolutions are just as strong as nothing kama hakuna corresponding, intelligent action steps on a daily basis. Lastly, to every action there is an equal and opposite reaction.
You have simply declared a terrible war against the forces of darkness, the chief of which is the Devil & Satan himself -- the most wicked, gullible & the bitterest of all formidable foes. This is to say the journey upwards will never be easy for you, but fortunately God has promised abundant and constant grace and power to carry you through to the very end triumphantly.
Jitahidi sasa uondokane na hilo zimwi lililosalia ling'oe na mizizi yake yote hapo utakuwa huru kiroho safi tu.Mimi kubet niliacha baada ya siku moja kupoteza pesa nyingi bila sababu ya msingi. Nikasema naacha na sijabet sasa nimetimiza mwaka maana niliacha mwaka jana december sijui November. Pombe mimi nakunywa ila kawaida sana, na naweza maliza hata miezi mitatu hata mitano sijagusa kabisa. Umalaya huo nimeacha kabisa toka mwezi wa tatu na sasa naumaliza mwaka.
Mungu mkubwa kupanga ni kuchagua...