Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Kuokoka ni an added advantage sawa na civil engineers wanavyoreinforce construction projects zao kwa nondo na zege.watu tunaangaika kwa matatizo tunayo yatengeneza wenyewe, mkuu unaeza acha hivyo vitu hata bila kuokoka
JF buuwana! Usikute komenti hii ni ya class 7 ama faiv pupil ambaye still - bado - hata vurugumechi hazijaanza hata kutaka kukaribia kumuanza kwenye jisimu.Siwezi acha hata kimoja hapo bora nifee
Alamdulilai sijawahi kupiga kavuUtakua unanunua zile K za mafungu pale Meeda unambinjua mtu kwa Babu kwa buku.
Sasa we nawe si uache tu umrudie Muumba [emoji19]
Hahhahhaha umepatia mkuu...JF buuwana! Usikute komenti hii ni ya class 7 ama faiv pupil ambaye still - bado - hata vurugumechi hazijaanza hata kutaka kukaribia kumuanza kwenye jisimu.
Sir ur englishi is vere vere better and ameizing. Konglatulations vere vere mache bambu.Nafsi yuleyule mmoja, ila kila jina linashadidi sifa zake tofauti (slanderer, accuser, opposer, evil, adversary)
Jitahid kutafuta kitabu kimoja kinaitwa POWER OF YOUR MIND.(kina pages chache sana kamaWakuu salaam!
Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya:
1. Pombe
2. Umalaya
3. Ku-bet
Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga.
Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi nilizotenda na nilizonazo natamani hata nisali Dini zote!
MARRY X MASS & HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE
NB: MNIWEKE KATIKA MAOMBI
Na sigara..Wakuu salaam!
Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya:
1. Pombe
2. Umalaya
3. Ku-bet
Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga.
Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi nilizotenda na nilizonazo natamani hata nisali Dini zote!
MARRY X MASS & HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE
NB: MNIWEKE KATIKA MAOMBI
Kuokoka ni an added advantage sawa na civil engineers wanavyoreinforce construction projects zao kwa nondo na zege.
Walevi WENGINE Mkuu kama #Mshana Jr na Bujibuij#Unaacha pombe unamwachia nani?
beutiful lier,,I have come across this scam!.. I even know how its done!..Mkuu mengine yote acha ila kubeti sikushauri uache,labda sema hujui kubeti ndo maana unapoteza pesa,kubeti ni kazi kama kazi zingine,View attachment 1655862
huu ndo uhuru wa maoni Enjoy your self!.. ila SHETANI HANA PEMBE HATA WEWE KUTONITIA MOYO KWA HATUA HII NJEMA YOU JUST SEEMS LIKE ONE!...Kuna kuacha na kuachw na pombe, usipokunywa kwa sababu huna hela hapo jua pombe ndiyo imekuacha
Pesa nashika ,,now and then By the way nina mshahara una flow!.. and nina hustle kinyama YAANI nikpiga hesabu nilitakiwa niwe some where kimaendeleo!.. at least niachane ni hiki ki baby walker !..Kweli shost si tupo nao mtaani tunajionea akiwa hana hela ataachana na kila kitu ngoja sasa ashike pesa utamsikia mimi niache pombe labda tbl ifungwe
They are Very Royal! ..well displined !..Kwanini msukukuma Mkuu
Kudos! I take that as an honest compliment. You're such a friend.Sir ur englishi is vere vere better and ameizing. Konglatulations vere vere mache bambu.