Sawa mtume mohamedToa ujinga hapa! hasira kafanyie wazazi wako.
Unajua ni kwasababu gani wanawake wanajua kuwa utakufa kwanza na wao ndio watarithi na kutake over mali zote na watoto, ni kwasababu wanajua wanachokifanya.Msimamizi wa Mali za familia ni huyo mwanamke nilie zaa nae kama nitakufa ila hii mentality ya mwanaume kufa wakwnza mmi siiungi mkono kamwe , akija zulumiwa ni karma tu imefanya kazi yake , hakuna kinachotokea bila sababu.
Hili swali wanakwepa kulijibu wanabakia kuongea ongea lugha za lawama.Mkuu ndoa zilikua na manufaa kwa kipindi cha zamani tu ila ndoa za sasa hazina manufaa hasa upande wa mwanaume , ukiwauliza faida za ndoa kwa mwanaume wa sasa na ndoa za sasa hakuna hata mmoja anajibu ila faida kwa mwanamke ni nyingi mno tena zenye kumuumiza mwanaume ,ndomaana wenzetu wanafunga ndoa za mkataba kila mmoja awe na faida fulani baada ya mkataba biashara inaishia apo.
Hapana sijakutukana, ila umejionea wewe mwenyewe kuwa kuwasilisha wazo la kike kwa sauti ya kiume ni fedheha kubwa sana kwa mwanaume.Naona sasa umeamua kunitusi kwa kutumia lugha kificho[emoji1545]
Ngumu sana babu anakusikiliza pale akiwa hana option tu ila akiwa ana option zake we thubutu yako.Kizazi cha leo ni mwanamke yupi ambae atamsikiliza mume wake jinsi inavyotakiwa?
Na ukipeleka haya malalamiko kwa wazazi unaambiwa wewe ndie baba wa familia kwann umuachie mkeo pesa ya ada kwann usingelipia mwenyewe tu.Mbaya zaidi unamulekeza kitu kinachoeleweka kabisa lakini anajitoa ufahamu kabisaaaaaa..
Hawa jamaa wanawaona wadogo wanaokataa ndoa ni wajinga ila kiuhalisia wanaume tunajitoa sana kwa ajili ya familia Ili Hali wake zetu vanashindwa kufanya vitu vdg sanaaa kutoa sapoti tu,kuwa waelewa na kuwa na shukrani tu..
Vitu vdg sanaaaaaa ambavyo ukupata mwanamke muelewa yaani hata havina gharama kuvifanya...
Hata hiyo kutumia akili inayozungumziwa
Kwenye biblia ni kupuuza 75% ya maneno na matendo anayofanya mkeo otherwise utabadilikia kwenye ndoa na kuwa mtu wa ajabu sana..Katili au mlevi au Malaya tabiaa ambazo kabla ya kuoa pengine hata hukuwahi kuwa Nazo..
Utashangaa unaongea mwenyewe barabarani kama kichaa..
Shika hii pesa tunza Ada ya mtoto,anaenda kununulia wigi..Sasa unajiuliza nifanyaje mtu huyu leo kesho keshokutwa anarudia mistake zile zile unaongea weeee.
raha ya ndoa hakuna tena na ukimkalia sana utosini ki mabavu maisha yanakuwa hatarini.Ipo haja katika Bunge lijalo hoja za ndoa za mikataba ikaanzishwa, itasaidia sana, itaokoa wengi kwa siku zijazo, maana watu wataingia ndoa za mikataba miaka 5,watakapoimudu na kuona wanaenda sawa ndipo waingie kwenye ndoa za imani zao. /akina mama wameota mapembe mitaani, raha ya ndoa hakuna tena na ukimkalia sana utosini ki mabavu maisha yanakuwa hatarini.
Ndoa ni kwa ajili ya wanaume waliokomaa kiakili na kifikra na wenye kujitambuaNdoa ni nzuri kama mkikutana wote mnahofu ya Mungu.
ndoa ni nzuri kama hamtataka kutumia akili nyingi sana katika ndoa
Ndoa ni nyepesi kama kilamtu ataingia kwenye ndoa akiwa na lengo la kuwa na mwenza wake kwa lengo la kuishi nae kama mke na mme maisha yao yote.
Bila ndoa hakuna familia
Bila ndoa hakuna amani
Bila ndoa hakuna malezi bora ya watoto
Kwendra usinipangie chakuandika.mjibu jamaa kwa hoja, acha kuweka mihemuko mbele
Kwendra usinipangie chakuandika.
niende wapi bibieKwendra usinipangie chakuandika.
Tumeanza na msingi kwanza wa kwann kitu kinatokea acha kudeflect hoja yangu, hatushindani hapa tunapeana elimu.Mwanamke kupata madhara akizini na wanaume wengi haihalalishi uzinzi kwa mwanaume
Halafu huoni kama hiyo ni cycle kwamba hayo magonjwa yataendelea kuzunguka, endapo mume katika kurukaruka huko akakutana na wanawake design hiyo uliyoisema, kisha naye akaja kumuambukiza mke wake
Mkuu hivyo visingizio vyenu vya kuchepuka huwa tunavisikia kila siku hadi tumevichoka, na havijawahi kumake sense hata kidogo zaidi ya kufanya muonekane mnajiendekeza tu, uzinzi haufai kwa mtu yeyote yule
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Wazee wanatuaminisha mwanamke hakosei lakini ukijakuoa ndo unajua mbona ni majanga tupuNa ukipeleka haya malalamiko kwa wazazi unaambiwa wewe ndie baba wa familia kwann umuachie mkeo pesa ya ada kwann usingelipia mwenyewe tu.
Wapo wangapi? Unajua uzungumze kitu ambacho hata wewe unakiamini na hata ukiambiwa nionyeshe unaweza onyesha?!Mkuu point ni kwamba mwanamke afanye hayo majukumu endapo ni mama wa nyumbani na si mfanyakazi au mfanyabiashara, tofauti na hapo ni lazima msaidizane au muweke wasaidizi wa kazi, by the way siku hizi kuna watu kibao tu wanaajiri mahouseboy kufanya hizo kazi
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
SISIMIZI WANAONEKANA PALIPO NA SUKARI TU, IKIISHA WANAONDOKA.!!!Namtazama mtu kama P. Diddy, ingawa wengi wanasema sijui ni hela ila hapana. Sio pesa, na pesa tu hawezi kuwa sababu ya jamaa kuwa vile. Hata r . Kelly.
Jamaa wanagonga 50 years lakini akikaa na kijana wa 35 wa bongo aliyeoa anaonekana yeye mdogo. Hawa kumbuka ni masenior bachelor.
Wamekwenda kinyume na kanuni ya bila ndoa mwanaume hatoboi, ila nikitazama mademu waliokuwa wanaruka nao ujanani aiseee wamekuwa kama vibibi wanatisha halafu sasa hivi wanajifanya wanapigia debe ndoa na mahusiano bora.
Kuna fumbo hapa tumetegwa wanaume kuhusu ndoa. Mimi nataka nigonge hadi 50 sina ndoa halafu tuone. Maana so far naona vijana waliokatika ndoa miaka 32 wanalishwa machakula ya hovyo wananenepeana kama viboko, matumbo kule, wanakuwa na miili ya kibaba, yaani basi hali mradi kufura.
Nadhani ndoa ina utaratibu wake wa kuishi ambao kwa bahati mbaya kiuhalisia haufuatwi ndio maana wanaume hawafaidiki na ndoa zaidi ya kumsaidia mwanamke kuchuma mali za familia halafu kusomesha watoto ambao baadae guaranteed hawatakuja kuwa msaada kwake kwa asilimia kubwa ila kwa mama yao. Halafu mbaya zaidi ukisha kuwa alosto yaani umri wa utu uzima mkeo anakuona hauna maana kwake anaanza kukuletea utata katika ndoa na kukujenga mazingira ya kuondoka au uishi anavyotaka yeye au ufe kwa kisukari.
Hapa kuna mtego mkubwa sana. Ukitaka kujua ni mtego tazama ukiwa hauna pesa wala mchongo, hakuna mwanamke anakutaka na huu ujana . Ukijiweka sawa hawa hapa wamejaa wanakuzonga, unadhani ukazeeka na ukastaafu pesa zikakuishia nini kitawafanya wabakie na wewe?!
Me nadhani Ndoa kwasasa ni mtego kwa wanaume ambao ukinasa majuto ni baadae.