Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,994
- 8,696
Ndoa ni nzuri kama mkikutana wote mnahofu ya Mungu.
ndoa ni nzuri kama hamtataka kutumia akili nyingi sana katika ndoa
Ndoa ni nyepesi kama kilamtu ataingia kwenye ndoa akiwa na lengo la kuwa na mwenza wake kwa lengo la kuishi nae kama mke na mme maisha yao yote.
Bila ndoa hakuna familia
Bila ndoa hakuna amani
Bila ndoa hakuna malezi bora ya watoto
ndoa ni nzuri kama hamtataka kutumia akili nyingi sana katika ndoa
Ndoa ni nyepesi kama kilamtu ataingia kwenye ndoa akiwa na lengo la kuwa na mwenza wake kwa lengo la kuishi nae kama mke na mme maisha yao yote.
Bila ndoa hakuna familia
Bila ndoa hakuna amani
Bila ndoa hakuna malezi bora ya watoto