If I were a president kijana yoyote anayeingia kwenye mahusiano pasipo kuonesha muelekeo wa kuoa au kuolewa cha moto angekiona[emoji23]Masingle madha wa kujitakia (sio hawa waliofiwa na waume zao) ni moja ya sababu kubwa na vijana wa hovyo kwenye taifa la tanzania na dunia kwa ujumla wake ambao ndio hawa kutwa kucha wanaimba mashairi na ngonjera za kukataa na kuponda mahusiano matakatifu ya ndoa.
If I were a president kijana yoyote anayeingia kwenye mahusiano pasipo kuonesha muelekeo wa kuoa au kuolewa cha moto angekiona.
Wanaopinga ndoa ni waumini wa Alphabet LGBTWanawake walioolewa wanayoyafanya mataani laiti waume zao wangejua wasingethubutu kuja hapa kusema ndoa zisivunjwe!
Wanaume waliooa ndio michepuko kibao,Ile maana ya ndoa sidhani kama IPO.
Ila mwisho WA siku ibaki kuwa chaguo la MTU kuoa au kutokuoa.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Wewe kama umeolewa Mme wako ana tabu Sana na Kama hujaolewa wewe huna sifa ya kuwa mke otherwise ubadirike.Vizuri kama umekuja kwenye maandiko, naomba unipe mstari japo mmoja tu kwenye biblia ambao Mungu alisema amemruhusu mwanaume kuchepuka au kuoa wake wengi, usinipe mifano ya manabii ambao walifanya hivyo kwa matakwa yao binafsi nataka agizo lililotoka kwa Mungu mwenyewe
Ubaya wako unaokoteza life style za waarabu na westerners Sisi tukopi.Mkuu umeongea mengi ila bado sijaona kama umekuja kwenye hoja niliyoizungumzia in the first place, kwahiyo kwako ni kipi kinawezekana je wewe unaona inawezekana mwanamke aliyeajiriwa anayetoka nyumbani saa kumi na mbili asubuhi, na kurudi saa kumi na mbili jioni amechoka kama mumewe kufanya majukumu ya nyumbani ipasavyo
Hivi unajua kwamba kwa hao wazungu kazi za ndani pamoja na kulea watoto ni za wote mwanaume na mwanamke, kwamba yeyote atayewahi kurudi nyumbani kabla ya mwenzie basi atafanya au wakiona mambo ni mengi wanaweka msaidizi wa kazi, unajua kwamba kwa wazungu ni kawaida mwanaume kuamka asubuhi na kumuandalia mkewe breakfast huku mkewe kalala ilihali kwa waafrika itaonekana mume kakaliwa
Na unajua kwamba kwa waarabu mambo ni tofauti wao mwanamke anakaa tu ndani na mwanaume ndio anatafuta pesa na kuhudumia mke pamoja na watoto, sasa kwanini waafrika hamtaki kuchagua moja hapo kati ya kusaidiana wote majukumu yenu au kila mmoja afanye majukumu yake kikamilifu, yani ninyi mnataka mume afanye majukumu yake tu ila mke afanye majukumu yake na ya mume
Hilo la kusema kwamba mke akipata pesa ni za kwake bado halina mashiko sababu point ni kwamba bado anatafuta pesa, maana ilitakiwa akae ndani na jukumu la kumhudumia lilikuwa la mume ila kwa sababu ya ubinafsi wa wanaume wengi wa miaka hii na kukimbia majukumu, basi wanaona kama kuhudumia wake zao ni kama kuwafanyia favour
Na sababu kwanini wanawake wengi pesa zao wanatumia wenyewe ni hiyo niliyoisema kwamba wanaona bado majukumu ya nyumbani wanaachiwa wao, ndio maana nao hawaoni faida ya kusaidia majukumu yenu sababu ninyi hamtaki kusaidia ya kwao, lazima tuchague kimoja kusaidiana majukumu ya kila mmoja au kila mtu afanye majukumu yake ila siyo mwanamke afanye majukumu yote ya mwanaume na mwanamke
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Unaogopa majukumu mwamba hakuna maisha bomba kama ya ndoaMkuu Mimi naona Maisha ya Mtu kukaa single bila Attachment na Mwanamke ni mazuri Sana
Kula vizuri
Lala vizuri
Sali Sana
Kataa ndoa
Tafuta pesa kwa ajili yako na wazazi na wasiojiweza huu mradi wa Ndoa unawafaidisha wanawake tu.
Hilo ndilo jibu la swali ?Ina maana hata hili hulijui[emoji3064][emoji848][emoji2827]
Anhaa, kumbe wewe una zingatia maandiko ya dini yako basi ni sawa kwa upande wako. Mimi siishi katika maandiko ya dini yoyote.Hapana hawana nafasi kubwa kwangu bali wana nafasi yao kwangu hasa nikizingatia maandiko ya imani yangu ya kidini
Hizi ndizo type zilizo kuwepo Mshana Jr nazani umeziona na bahati mbaya wanaume siku hizi nao wapo kwenye mode ya POTELEA MBALI.Mkuu ubaya ni kwamba hilo mnalotaka ninyi katika hali ya kawaida haliwezekani, yani mwanamke anafanya kazi au biashara anatoka asubuhi na kurudi jioni halafu bado afanye majukumu ya nyumbani ipasavyo, huo ni uongo wa mchana kweupe na ni ubinafsi
Ndio maana nikasema lazima kila mtu achague kwenye ndoa mume na mke wakubaliane kati ya kuwa kama wazungu au kama waarabu, yani wote mume na mke watoke kutafuta pesa na wafanye wote kazi za nyumbani ama waweke msaidizi, au mume atoke kutafuta pesa na mke akae nyumbani afanye majukumu ya nyumbani
Na siyo kutaka eti mume afanye majukumu yake tu ila mke afanye majukumu yote ya mume pamoja na yake, yani mume atafute pesa tu ila mke atafute pesa, na bado afanye majukumu ya nyumbani peke yake
Kwanza ni ujinga kuoa halafu mke wako unamruhusu kuenda kuajiriwa kwenye ofisi za wanaume wenzio wanamshika shika matako hovyo wengine WAbatembea nae kabisa. Tuko maofisin tunayaona haya.Mkuu ubaya ni kwamba hilo mnalotaka ninyi katika hali ya kawaida haliwezekani, yani mwanamke anafanya kazi au biashara anatoka asubuhi na kurudi jioni halafu bado afanye majukumu ya nyumbani ipasavyo, huo ni uongo wa mchana kweupe na ni ubinafsi
Ndio maana nikasema lazima kila mtu achague kwenye ndoa mume na mke wakubaliane kati ya kuwa kama wazungu au kama waarabu, yani wote mume na mke watoke kutafuta pesa na wafanye wote kazi za nyumbani ama waweke msaidizi, au mume atoke kutafuta pesa na mke akae nyumbani afanye majukumu ya nyumbani
Na siyo kutaka eti mume afanye majukumu yake tu ila mke afanye majukumu yote ya mume pamoja na yake, yani mume atafute pesa tu ila mke atafute pesa, na bado afanye majukumu ya nyumbani peke yake
Huo uongo mkubwa upo wapi ?Tofauti yetu iko hapo .. Lakini ni dhahiri ulichokisema ni uongo mkubwa sana