Ili uwe kichwa ni lzm uoe mkia,ukioa kichwa utakuaje kichwa.haya ni maneno alitakiwa ayaandike mdada aisee
mwanaume unatakiwa uoe , uwe kichwa na uongoze familia
vinginevyo una fail ile mbaya
Ww dada fikiri vzur unajua maana ya ndoa au unaropoka tu? Kwan ili uzaliane lazima uwe na ndoa nikiimaanisha cheti kilichosainiwa kisheria?Wanaokomalia hii kampeni wengi ndo hao hao wanaofanya kampeni ya mapenzi ya jinsia moja., na wengine ni kukwepa majukumu.
Hatukatai kwamba ndoa zina matatizo mengi tu lakini haimaanishi ya kwamba kila ndoa ina matatizo, wapo wanaoishi vizuri bila tatizo.
Na wanaposema tukatae ndoa ina maana watu waache kuzaliana? Au ndo wanafurahia ongezeka la single mothers?
Kuoa hukwepi ili kufunga ndoa ni ujingaukiwa mwanaume kamili kuoa hakukwepeki...
Unajua maana ya ndoa lakinKaka mshana hao wanaoandika kataa ndoa wengi hawana hata kitanda wasikutishe.
Mkuu hili ni jukwaa huru nipo na mke na mtoto ila akigusia ndoa nafukuzia mbaliKichaa ,siwezi kukupangia hata ufanye uwizi ni juuu lako..Kuleta kampeni na kushawishi watu ndo hatutaki.
Aidha binafsi uwe na kitu na mwanamke awe na kitu ndio muungane hakuna kupeana lift, na mali ya kila mmoja itambulike hapo ndipo upendo wa kweli utajidhihirisha.Mkuu Mimi naona Maisha ya Mtu kukaa single bila Attachment na Mwanamke ni mazuri Sana
Kula vizuri
Lala vizuri
Sali Sana
Kataa ndoa
Tafuta pesa kwa ajili yako na wazazi na wasiojiweza huu mradi wa Ndoa unawafaidisha wanawake tu.