Malezi Duni na Utandawazi ndio Chanzo cha ongezeko la mijadala ya kupinga na kukosoa ndoa na maisha ya ndoa

Hakuna mwanamke nimekutana nae ambaye anatoa mali yake au pesa zake kwa moyo mkunjufu kabisa bila kuiwaza na kuikumbuka kila saa na kuanza kutengeneza mazingira ya kuidai.

Kimsingi mwanamke anawaza kupata sio kutoa, na anatoa pale ambapo atapata zaidi ya anachotoa zaidi.
 
Hahaha mkuu hivi siyo ninyi ambao mkiajiri housegirls baadaye mnaanza kulalamika kuwa oo sijui mke kajisahau sana housegirl ndio anafanya kila kitu na mwisho mnaanza kutembea na hao housegirls

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Mimi mke wangu hata asipogusa chochote kama housegirl yupo na kufanya kazi yake vizuri, nitampongeza mke wangu kwa kusimamia vizuri huyo housegirl.
Mwanaume ni kichwa cha familia mwanamke ni mwili..
Mwanaume (Kichwa) hufikiria, kuweka mipango na kutafuta njia..
Bila mwanamke (mwili) thabiti kufikia ndoto na malengo ni ngumu..
Nyumbani kunavyumba siingii hata mwezi , fridge sifungui ,sijui watoto wanavaa nini ,ratiba ya chakula, nyumba imefanyiwa usafi au vipi .Hata akiwa anauwezo wa kuviweka vizuri aweze kusimamia zoezi zima
Zaidi anitii aniheshimu, anipe moyo ninapo chafukwa, aniamini (kama kunasehemu sijaridhika nitatoa ushauri nasiyo kulazimisha, kwasababu hilo ni eneo lake)

Kazi yangu kubwa kama (kichwa) Kumpenda na kumuonyesha kwa matendo, kuhakikisha na invest wapi penye return nzuri, najenga misingi gani kwaajili ya baadae, natengeneza connection gani zitakazo kusaidia kizazi changu , bajet ya matumizi ya familia naimudu, kumpa nafasi ,kumsikiliza mke wangu na ushauri wake, kumpa muda mke wangu na familia na kutokuendekeza marafiki wasio na maana wala kuongeza kitu chanya kwenye maisha yangu. (kama kunasehemu hajaridhika atatoa ushauri nasiyo kulazimisha maana ni eneo langu).
 
Mkuu kukataa ndoa sio kukataa kuishi na mwanamke , kinacho pigwa apa ni kufunga pingu za maisha .
Sawaaa....lakini kama hamjafunga ndoa nani atakuwa msimamizi wa malinza watoto ukiwa haupo??
Kaka?, Dada?, Mjomba?
Watoto wako watakuwa hawana chao na mama atakuwa hana nguvu ya kuwapambania.
Tuangalie mbali zaidi ya tamaa zetu
 
Sasa ulitaka mwanamke ndo akuhudumie wewe? Na majukumu ya kubeba mimba utabeba wewe sio? Ovyo kabisa ndomana mnaolewa na wanaume wenzenu sababu ya kupenda mseleleko pole kwa mama yako ya baba yako.
Issue sio kuhudumia. Issue ni unahudumia mtu wa aina gani. Mabinti wa sasa mpo so focused kwenye kuhudumiwa ila mkiulizwa mnajua majukumu yenu katika mahusiano tukianza na lile la kutii na kuheshimu unakuta ni zero hakuna mnachofahamu.

Kimsingi, gari bovu lina gharama kubwa sana kulimiliki na kulitunza. Ni ujinga sana kufocus kuwa m'miliki wa gari badala ya kufocus na aina gani ya gari unataka kumiliki na namna utaweza ukimudu.

Mwanamke ambaye hajakuzwa vema kuwa mke na mama bora ni wa kazi gani kwa mwanaume?!

Wengi mnachohisi ni cha thamani mnachowapa wanaume ni hapo kati basi hakuna la ziada.
 
Me naona Mshana Jr unakwepa hoja ya msingi hapa kwenye huu mjadala. Si kwamba watu wanapinga ndoa ila hapa ukitazama upande wetu sisi wanaume kuna vitu tunazungumzia hapa na wanawake wanavideflect kama sio kuvikwepa kujibu ile direct.

Kwa kifupi wanawake wanakwepa kuwajibika kwa matendo yao ambayo ndiyo kichochezi cha mdororo wa ndoa.

Sababu hizo ni kama tabia mbovu, umalaya, kiburi, kuwa na watoto kabla ya mahusiano serious, kuweka mbele masilahi yao binafsi wakitegemea kuchuma kwa mwanaume na kuweka kando.


Haya mbona kama yanakwepwa?!
 
Basi ndio mkubali kwamba mke akiwa mfanyakazi au mfanyabiashara hataweza kutimiza majukumu ya nyumbani ikiwemo na kukulea wewe pamoja na watoto ipasavyo hivyo muache kulala

Basi ndio mkubali kwamba mke akiwa mfanyakazi au mfanyabiashara hataweza kutimiza majukumu ya nyumbani ikiwemo na kukulea wewe pamoja na watoto ipasavyo hivyo muache kulalamika
Kwa upande wangu nimekubaliana nalo kabisa kwasababu akili yangu nimeiweka kwamba yotehayo anafanya kwa maendeleo yetu hata kama ni kidogo anachochangia kwakungu inaonesha ni jinsi gani anajitoa siyo kwa maneno tu bali kwa vitendo kwangu mimi, watoto na ndoa yake.
Kuna vitu huwezi kununua mkuu, utanunua tendo la ndoa na uta mlipa mtu wa kutunza njumba na watoto wako tena vizuri.
Lakini huwezi nunua mke bora anaye jitoa kwaajili ya ndoa yake, mume wake na watoto wake kwanguvu na akili zake.....
 
Usiwaone wajinga Wana hoja

Labda km na wewe huna mke hujui..Stress za kijinga wanazopitia wanaume ..

Hawa ndugu zetu kwa sasa ni kama they have nothing to offer zaidi ya stress....

Ishu hapa sio kukataa ndo ishu ni wanawake wakuoa hamna..

Mi nina mke lakini hata Leo hii akisema anaondoka sijioni km nimepoteza kitu cha msingi maishani yaani kwanza sijioni kama nitapungukiwa kitu..

Yaani ukikaa chini ukasema hivi huyu ana msaada gani specific kwenye Maisha yangu kiujumlA sioni labda ile tu Ana mke huyu, jamaa Kaoa basiiiiiii..

In fact, nilivyokuwa bachela ndo nilikuwa na enjoy maisha zaidi kuliko nilivyooa..

Wanawake hawana Cha kutoa huu ndo ukweli mchungu ila tutaona km biblia inadanganya.Maana iliandika ipo siku wanawake watalazimisha Ndoa watakuja Kumi kumi ila watakosa mume..

Madogo ni KWELI,msikimbilie Ndoa.Wengi wenu huko ndo mtaenda kuharibu maisha yenu..

Ndoa Ina mtaka mwanaume ajitoe kwa Kila kitu wakati mwanamke hana Cha kutoa..mpumbavu tu na asiye na mke ndo atasema wasiooa wajinga..

Kuoa ni kubahatisha mwenye bahati tu ndo atapata mke bora..Jiulize una bahati????

Kuna mtu rahisi ku mplease km mwanaume??? vitu basics tu chakula kitamu ,uchi, heshima ila 75% hawapati hivyo vitatu.
 
Hili ni gumu sana kwa sasa..Wazazi hawaishi sana na watoto kama ilivyokuwa huko zamani .Kwahiyo anaweza kuwa na mtoto lakini asimfahamu tabia yake ya kweli akiwa nyumbani na maeneo ya nyumbani ana act tu
 
STAMINA amesikia lakini....?
 
Hutaki wewe kaa kutulia,kwani watu wasipo oa wewe kinakuwasha nini?kila mtu na maisha yake.
Kama we ni msukuma isiwe sababu ya kunishawishi ugali n mtamu ..Pambana na ushamba wako ..Kila mtu ashinde mechi zake hauna jipya la kunifundisha
 

Wewe unachokifanya hakina tofauti nao,nawewe una ajenda hiyo hiyo ya kulaziamisha watu wa owe,ndoa ni hasara kwa mwanamme na faida kwa mwanamke.
 
Tatizo Zinaa imekua rahisi sanaa na inazidi kurahisishwa kadri siku zinavoenda ndo mna mtu anaona ya nini kuoa kma kile ambacho angekipata ndani ya ndoa anakipata sasa

Ndo wale wanosema

Kwanini nifuge ng'ombe wakati maziwa napata

Ila kumbuka
#uzinzi haujawahi kumuacha mtu salama#
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…