Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Hakuna mwanamke nimekutana nae ambaye anatoa mali yake au pesa zake kwa moyo mkunjufu kabisa bila kuiwaza na kuikumbuka kila saa na kuanza kutengeneza mazingira ya kuidai.Aidha binafsi uwe na kitu na mwanamke awe na kitu ndio muungane hakuna kupeana lift, na mali ya kila mmoja itambulike hapo ndipo upendo wa kweli utajidhihirisha.
Kila siku huwa nasema wanawake HAWANA UPENDO WA KWELI KABISA zaidi ya kinyemela fedha zako, ngoja zikuishie ndipo utajua mpendwa alikuwa ni fedha na si wewe, pumbavu sana.
Kimsingi mwanamke anawaza kupata sio kutoa, na anatoa pale ambapo atapata zaidi ya anachotoa zaidi.