Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imemkuta ndugu yangu hii,hadi kaukimbia moto.Mmmmmmhmn ndugu haujawahi kuigiziwa mtu ana kuactia hata miaka 10 ukishaweka mambo fulani ambayo yanampa uhakika kuwa ndoa kaipata basi anaanza maviburi.
Dini haifanyi mtu kuwa na ndoa nzuri au mbaya ni watu wenyewe.Ndoa itakua nzuri kama itaweka usawa kwa wote bila kubagua pale kutakapo kuwa na changamoto fulani ,japo mimi sio muislamu ila kwa sasa ndoa zenye faida kwa mwanaume ni za kiislamu tu.
Kizazi cha leo ni mwanamke yupi ambae atamsikiliza mume wake jinsi inavyotakiwa?Mmmmmmhmn sijajua umetumia mtazamo gani kusema kisababishi ni mwanaume.
Inawezekana umemaanisha kuwa mwanamke anayemsaliti mume wake inachochewa na mwanaume wa nje anaekuja kumendea mke wa mtu hapo nitasema ni sahihi katika eneo la "ukiona mwanamke anachepuka kisababishi kwa asilimia 90 ni mwanaume".
But kama unasema ndani ya ndoa mwanamke anatoka nje kusaliti kwasababu kasababishiwa na mwanaume aliye nae ndani ya ndoa, hapo nitakupinga sana.
Mwanaume hadi anaweka mwanamke ndani na kusema huyu ndie mke wangu kwa hiyari yake bila shinikizo au kulazimishwa then hapo toa fikra kuwa akitoka nje kaamua kusaliti.
Mwanaume kusaliti ni kumkana mwanamke kutoka moyoni na kumreplace na mwanamke mpya, sio kulala na mwanamke nje ya mkewe, huko sio kusaliti kiume. However, kwa mwanamke kitendo cha kwenda kinyume na maagizo au maelekezo halali na ya hekima ya mume wake hapo ndipo kusaliti huanzia. Kwasababu, mwanaume jukumu lake ni moja tu kumpenda mke wake kwa maana ya kumtunza na kumlinda kama kinda la ndege wakati mwanamke jukumu lake ni kutii na kuheshimu mwanaume wake kabla ya mtu mwingine yoyote au mamlaka zingine zozote.
[emoji16]Kataa ndoa uwe salama kiakili
Kataa ndoa uishi maisha marefu yasiyo na bughudha
Kataa ndoa uwe huru kimwili, kiakili na kiroho
Kataa ndoa uwe mtazamaji wa matatizo ya watu [emoji3526][emoji3526]
Kataa ndoa ujue kutofautisha kati ya 6 na 9
Ila kwakweli ndugu yenu mimi nimeoa na nina watoto wawili
Mbaya zaidi unamulekeza kitu kinachoeleweka kabisa lakini anajitoa ufahamu kabisaaaaaa..Unachoongea ni kweli..ndoa ni nzuri ukipata mke Mwenye kujali na Mwenye akili....
Kwa kifupi kuna vitu vinaumiza sana...inaumiza hasa kama na wewe mwanaume una akili...
Binafsi Kwa upande wangu ambacho sitakuja kumvumilia mwanamke ni uzinzi..nikigundua anafanya usaliti..hapo ndio mwisho wa safari.
Matukio yao mengine inabidi ujifanye fala ili maisha yaende tu.
Imagine mtu anaweza akakosea jambo ila hataki kuelekezwa na hata ukimuelekeza mnaishia kugombana tu. Mwanamke anakuwa na misimamo ya kijinga na kujiona mjanja. Yaani anakubali aondoke nyumbani na mtoto Mwenye miezi minne na nusu kisa tu mwanaume umeamua kumshauri vizuri mkeo. Inasikitisha sana.
Matokeo yake, ukisema utumie hasira hapo unakwenda kuwaumiza watoto wadogo wasio na hatia. Kwa hiyo inabidi upotezee ili maisha yaende.
Mtu unaaamua kupotezea,unatoka job unafika home anaanza kujiongelesha na kukuigizia kajishusha..inamaana wewe mwanaume usingejishusha ndoa ilikuwa inakwenda kuvurugika na kutesa watoto...can you imagine? Inaumiza sana.
Kifupi binafsi nilishaamua kudharau tu na maisha yanasonga.
Ninafanya hivi kwa kuangalia maisha ya wanangu na namna ya Mimi nilivyokomaa hadi kufikia hapa..sasa ukisema uanze kupambana na mke wa staili hii it means watoto wanakwenda kuteseka na wewe hutakuwa na amani...itakuwa ngumu kusimama ikiwa tayari watoto wadogo wako sehemu fulani wanahangaika kwa sababu ya ujinga wa mama Yao.
Kwa vijana wenzangu ambao hawajaingia kwenye ndoa, wamuombe Mungu wapate wake waelewa na wenye ustaarabu. Ukimwambia jambo atii, sio mwanamke mbishi mjuaji..inatesa sana.
Tofauti na hapo unaishia kuteseka tu.
Lakin mkuu hzo za kiislamu wanawake wao hawna viburi kama hawa wa mpka kifo kitenganishe , wanaume wengi wenye stress za ndoa ni wakristo ila waislamu wanaishi kma wafalme kwenye ndoaDini haifanyi mtu kuwa na ndoa nzuri au mbaya ni watu wenyewe.
Dini zipo kutuelimisha na kutuonyesha njia.
Iwe ya kiislam mali ulizo chuma na mume akiondoka wapewe wajomba na watu wengine ambao hawajui hata historia na mliyopita kuchuma hizo mali nyie mkiachiwa kasehemu kadogo au.
kuongezewa wake wenza wa3 kwa tamaa za mwanaume baada ya kumsaidia mwanaume kusimama ulipomkuta choka mbaya bila uwezo wowote.
AU.
Ya kikristo ukifunga umefunga mpaka kifo utakayoyakuta yawe mazuri au mabaya?
Nimtazamo tu kusema dini hii ni zaidi ya hii tunakosea.
Mimi upande wangu nikiona SITA upandewaka ukiona TISA hakuna aliyekosea.
Kuzaliwa kwa mtoto/watoto siyo lazima ndoa. Wengine wanataka tu watoto basi.Kwani kuzaa lazima ndoa??dude are you serious??
Mwanamke bila kujalisha anatoka familia ya uwezo au kifukara, mwenye elimu au asie na elimu, mwenye kazi au asiye na kazi, mwanamke akikosa tu elimu ya kuwa mwanamke na kujitambua majukumu yake ya kike na nafasi yake katika maisha ya mwanaume na jamii inakuwa ni kazi bure.Kuoa mwanamke wa kumuweka ndani asiye kuwa na elimu itakayo muezesha kupata ajira AU uwezo wa biashara ambayo ungeweza kumfungulia na akaifanya vizuri ni HATARI SANA.
Mungu amekubariki watoto, mali lakini akaamua kukuchukua wakati bado wakiwa wadogo, unadhanibwataishi kwenye mazingira gani wakati mama hana uwezo wowote wa kuwalinda wala kuwa tunza???
Mimi binafsi baba alifariki nikiwa mdogo sana na isingekuwa kazi ya mama sijui ningekuwa wapi leo, Mungu ni mwema.
Jamba kabisa basi maana aliagiza eti ujambe.Bado tu haujanilewa ,kuishi kama baba na mama sio lazima mpka uwe na ndoa babu yangu na bibi wameishi miaka 60 bila ndoa na watoto wao wamepata malezi ya baba na mama , alafu punguza mihemko sio kila kilicho kwenye mitandao ni cha kuchukulia seriously .
mjibu jamaa kwa hoja, acha kuweka mihemuko mbeleNimekujibu kwa hasira au ukweli unauma? Unajipinga tena wakati mwanamke kuhudumiwa na mume wake unaona anafaidi?vijana msipobadirika mtaolewa sana tu,sikushangai vijana kama wewe mmejaa tele amtaki kufanya kazi kutimiza majukumu mnataka mseleleko tu.
Mwanamke bila kujalisha anatoka familia ya uwezo au kifukara, mwenye elimu au asie na elimu, mwenye kazi au asiye na kazi, mwanamke akikosa tu elimu ya kuwa mwanamke na kujitambua majukumu yake ya kike na nafasi yake katika maisha ya mwanaume na jamii inakuwa ni kazi bure.
Majibu yanaonekana sasa wazi wazi, wanawake waliosoma labda wawe na uwezo wa kifedha kidogo inawapa advantage ya kuteuliwa kuwa wake za watu ila nje ya hapo mtu akijua tu binti ana elimu ya chuo basi huwa inampa majibu kuwa hapa hakuna mahusiano bali kuna ligi ya mabishano na ujuaji aina ya "Education is better than Money". So huwa tunaishi nao tu kusindikiza muda hatuna swaga za kuo
Hata akiwa na elimu au uwezo wa namna gani kama mwanamke hajielewi hamna kitu hapo..Mwanamke bila kujalisha anatoka familia ya uwezo au kifukara, mwenye elimu au asie na elimu, mwenye kazi au asiye na kazi, mwanamke akikosa tu elimu ya kuwa mwanamke na kujitambua majukumu yake ya kike na nafasi yake katika maisha ya mwanaume na jamii inakuwa ni kazi bure.
Majibu yanaonekana sasa wazi wazi, wanawake waliosoma labda wawe na uwezo wa kifedha kidogo inawapa advantage ya kuteuliwa kuwa wake za watu ila nje ya hapo mtu akijua tu binti ana elimu ya chuo basi huwa inampa majibu kuwa hapa hakuna mahusiano bali kuna ligi ya mabishano na ujuaji aina ya "Education is better than Money". So huwa tunaishi nao tu kusindikiza muda hatuna swaga za kuoa.
[emoji16]Jamba kabisa basi maana aliagiza eti ujambe.
True mkuu umeongea mazito sana. Infact, mimi nimekuelewa sana maneno yako.Usiwaone wajinga Wana hoja
Labda km na wewe huna mke hujui..Stress za kijinga wanazopitia wanaume ..
Hawa ndugu zetu kwa sasa ni kama they have nothing to offer zaidi ya stress....
Ishu hapa sio kukataa ndo ishu ni wanawake wakuoa hamna..
Mi nina mke lakini hata Leo hii akisema anaondoka sijioni km nimepoteza kitu cha msingi maishani yaani kwanza sijioni kama nitapungukiwa kitu..
Yaani ukikaa chini ukasema hivi huyu ana msaada gani specific kwenye Maisha yangu kiujumlA sioni labda ile tu Ana mke huyu, jamaa Kaoa basiiiiiii..
In fact, nilivyokuwa bachela ndo nilikuwa na enjoy maisha zaidi kuliko nilivyooa..
Wanawake hawana Cha kutoa huu ndo ukweli mchungu ila tutaona km biblia inadanganya.Maana iliandika ipo siku wanawake watalazimisha Ndoa watakuja Kumi kumi ila watakosa mume..
Madogo ni KWELI,msikimbilie Ndoa.Wengi wenu huko ndo mtaenda kuharibu maisha yenu..
Ndoa Ina mtaka mwanaume ajitoe kwa Kila kitu wakati mwanamke hana Cha kutoa..mpumbavu tu na asiye na mke ndo atasema wasiooa wajinga..
Kuoa ni kubahatisha mwenye bahati tu ndo atapata mke bora..Jiulize una bahati????
Kuna mtu rahisi ku mplease km mwanaume??? vitu basics tu chakula kitamu ,uchi, heshima ila 75% hawapati hivyo vitatu.
Toa ujinga hapa! hasira kafanyie wazazi wako.Usitpangie jinsi ya kuish we fala nin komaa na mke wako huko unajikuta mtume nani sijui