Malezi ya sasa hivi ni mabovu kabisa

Malezi ya sasa hivi ni mabovu kabisa

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Kuna wazazi sasa hivi mnausasa wa kuwaacha watoto wajifanyie wanavyo taka wao yaani wanajifanyia maamuzi ndio maana sasaivi wasichana wengi wamezalia nyumbani na mmelizikia hivi ni kawaida mtoto wa kike kazalia nyumbani mtoto wa kwanza ukasema bahati mbaya na wa pili anazalia nyumbani na baba tofauti na bado unaendelea kumlea hapo kwako kweli?

Zamani haikuwa ivyo kabisa watu walikuwa wanajichunga ila sasaivi uhuru umepitiliza embu wazazi acheni usasa ndio maana sasa hivi mwanaume apewi thamani yake kama zamani wakati kipindi cha nyuma mwanaume alikuwa anathaminiwa sana tofauti na sasa mwanaume wanatumika tu vibaya hii lekebisheni wazazi wafunzeni watoto wakike wajue thamani ya mwanaume wajue kuwa mwanaume ni nan
 
Zamani haikuwa ivyo kabisa watu walikuwa wanajichunga ila sasaivi uhuru umepitiliza embu wazazi acheni usasa ndio maana sasaiv mwanaume apewi thamani yake kama zamani wakati kipindi cha nyuma mwanaume alikuwa anathaminiwa sana tofauti na sasa mwanaume wanatumika tu vibaya hii lekebisheni wazazi wafunzeni watoto wakike wajue thamani ya mwanaume wajue kuwa mwanaume ni nan
Sasa kama wazazi wenyewe ndio machawa wa CCM unadhani kuna la maana
 
Kuna wazazi sasaivi mnausasa wa kuwaacha watoto wajifanyie wanavyo taka wao yaani wanajifanyia maamuzi ndio maana sasaivi wasichana wengi wamezalia nyumbani na mmelizikia hivi ni kawaida mtoto wa kike kazalia nyumbani mtoto wa kwanza ukasema bahati mbaya na wa pili anazalia nyumbani na baba tofauti na bado unaendelea kumlea hapo kwako kweli?

Zamani haikuwa ivyo kabisa watu walikuwa wanajichunga ila sasaivi uhuru umepitiliza embu wazazi acheni usasa ndio maana sasaiv mwanaume apewi thamani yake kama zamani wakati kipindi cha nyuma mwanaume alikuwa anathaminiwa sana tofauti na sasa mwanaume wanatumika tu vibaya hii lekebisheni wazazi wafunzeni watoto wakike wajue thamani ya mwanaume wajue kuwa mwanaume ni nan
Zamani binti akibeba mimba anatimuliwa nyumbani akapambane huko maana anakuwa ameshakuwa mkubwa, saizi tunafurahia
 
Kabisa yaani sasaiv mtoto kamaliza fomr 4 mwaka jana mwaka uhu ana mimba na mzazi anachekelea na haoni shida kabisa
Mambo yamegeuka na hapo hajaolewa, atazaa tena na mwanaume mwingine, kipindi cha nyuma wanawake wakiambiwa ni kiwanda cha kuzalisha walikuwa wanakuwa wakali, sasa saizi binti anapewa mimba, anazaa mwanaume anaingia mitini, anakuja mwanaume mwingine anaweka anasepa anakuja mwanamke mwingine naye anasepa
 
Mambo yamegeuka na hapo hajaolewa, atazaa tena na mwanaume mwingine, kipindi cha nyuma wanawake wakiambiwa ni kiwanda cha kuzalisha walikuwa wanakuwa wakali, sasa saizi binti anapewa mimba, anazaa mwanaume anaingia mitini, anakuja mwanaume mwingine anaweka anasepa anakuja mwanamke mwingine naye anasepa
Af bado una kaa nae nyumbani kutafuta nini haswa
 
Juzi nilimtandika bakora kwa kutumia mswaki binti yangu wa miaka 3, basi mamaake akanikatajicho la hasira na huruma, nami nikamtolea jicha fkani kali sana huyoooo akatoka nje.
Siku iliyo fuata mtoto akaniambia " baba leo toto asumbui kabisaaa".... akaongeza kwa kusema "miakula ugali na baba toto".....🤣 hapo ilikua saa nne asubuhi muda wangu wa kuka ugali...🤨.
Tatizo wazazi tunawapa watoto shule nzuri, chakula kizuri, mavazi mazuri, tiba nzuri.... lakini tunasahau kuwapa malezi yanayo faa kwa manufaa yao baadae pindi watakapo kua na kesho yao
 
Exposure ya mitandao ya kijamii,mass media, na utandawazi vimechangia kuharibu watoto hasa wa kike.
Wazazi wanaplay part yao wanajitahidi sana, lakini vishawishi na vichochezi ni vingi na vipo mikononi mwa watoto,sebuleni, mtaani,shuleni na kote waendako.

Kuna mtoto wa mchungaji anafundishwa vyema kabisa maadili na wazazi wapo makini nae, ila kaishia kuzalia nyumbani na ni danga konki.
 
Kuna kipindi nilikua nikikaa home jioni napuliza mjani wangu huku pembeni nachamba koo na K-Vant kubwa.....
Sasa wakati huo nikawa nawaambia watoto wangu kwamba "siku akija kutokea mtu akavuta mibenge na mipombe hapa ndani, basi atafute kwao nyingine na nisimuone anakanyaga nyumbani kwangu"... qudadadadeqi....☹️
 
Juzi nilimtandika bakora kwa kutumia mswaki binti yangu wa miaka 3, basi mamaake akanikatajicho la hasira na huruma, nami nikamtolea jicha fkani kali sana huyoooo akatoka nje.
Siku iliyo fuata mtoto akaniambia " baba leo toto asumbui kabisaaa".... akaongeza kwa kusema "miakula ugali na baba toto".....🤣 hapo ilikua saa nne asubuhi muda wangu wa kuka ugali...🤨.
Tatizo wazazi tunawapa watoto shule nzuri, chakula kizuri, mavazi mazuri, tiba nzuri.... lakini tunasahau kuwapa malezi yanayo faa kwa manufaa yao baadae pindi watakapo kua na kesho yao
Malez ya sasa ni ovyo mtoto anakula chakula hatuliii mara kaacha kashika iki kile sebre yote inatapakaa chakula mama unasikia muache ndio kula yake
 
Back
Top Bottom