Malezi ya sasa hivi ni mabovu kabisa

Malezi ya sasa hivi ni mabovu kabisa

Nimelelewa na baba sijui malez ya mama Wala upendo wake japo yupo hai ila niseme Mzee ametulea kwenye malez ya kuogopa Kila kitu kwenye ukuaji wetu Sheria ziliwekwa na ukivunja unalo Tena unalo haswa saut ya baba ilituingia Hadi kwenye ubongo ukikosea au kuharibu jambo utajutia sio malez ya kidini ila malez ya kutii adabu na heshima pamoja na busara zake
Najivunia ukuaji wangu haukua na hekaheka za Dunia na ni malez naenda kuwapa watoto wangu sitataka wajifiche kwenye kivuli Cha kitu chochote sauti yangu itawaongoza wao sio Kwa mabavu Wala vitisho
Hongera ulipata mzazi bora ila now wamama mnatuharibia watoto
 
Inategemea na marafiki na mazingira aliyokulia nayo mtoto. Kama marafiki wa mtoto wako ni wavuta bangi piga unavyo piga ila huyo mtoto anaweza kuwa mvuta bangi. Kama mtoto wako kila siku anaingia kwenye mitandao ya kijamii na kufuatilia vitu vya kipuuzi na yeye anaweza kukengeuka.

Hakikisha akili ya mtoto wako inalishwa vitu salama.
Kweli kabisa
 
Wazazi hamuongei na binti zenu.

Ishu sio kujiamulia hata asipojiamulia kama hana maarifa mimba atapata tu.
Ufinyu wa maarifa ndio huzalisha hizo mimba mfululu, kama baba/mama unaona aibu kumfundisha binti yako ajikinge vipi na mizagamuo usitegemee miaka hii ya technology vitisho vyako vitamzuia kupigwa pipe.

Assume unaishi jiji kama Dsm, Mwanza,Arusha eti umfukuze binti kigori wa miaka 17 utegemee atakosa pa kwenda, utaishia kumpoteza zaidi.

Maisha yanabadilika wakuu, tusipokubali kubadilika na kuzidi kusolve matatizo kizamani basi tutazidi kukuza tatizo.
Sawa yamebadirika ila yasikufanye mtoto wako awe mtovu wa nidhamu
 
Sawa yamebadirika ila yasikufanye mtoto wako awe mtovu wa nidhamu
Ndio ubadilike na wewe sasa, usilee kizamani kwa kudhani mtoto hajui kitu kumbe anasikia na kuona mengi yanamchanganya hajui amuulize nani, wewe bado unaona miaka 14/15 bado mdogo hajui kitu.
 
Assume unaishi jiji kama Dsm, Mwanza,Arusha eti umfukuze binti kigori wa miaka 17 utegemee atakosa pa kwenda, utaishia kumpoteza zaidi.
umenikumbusha kuna siku tulikuwa na washkaji kino pale 4ways. sasa kuna mmama alikuja na kibinti chake cha kama 15, 16, 17 au 18 hapo. nazani mama aliamua kumpa outing binti yake. wao walikaa meza ya karibu yetu.

sasa kati ya wale jamaa zangu mmoja akawa amemuelewa yule dogo akaanza kuwasiliana nae kwa signals palepale na mamake akiwepo. mama akitazama kushoto au cjui kaunta au anaongea na simu, dogo anampa jamaa sign. hauwezi kuamini yule dogo alimpa namba jamaa bila mama yake kujua.

ni muhimu kuwaelimisha hawa madogo ngono salama tu kwakweli maana kuwadhibiti haiwezekani hata kidogo.
 
umenikumbusha kuna siku tulikuwa na washkaji kino pale 4ways. sasa kuna mmama alikuja na kibinti chake cha kama 15, 16, 17 au 18 hapo. nazani mama aliamua kumpa outing binti yake. wao walikaa meza ya karibu yetu.

sasa kati ya wale jamaa zangu mmoja akawa amemuelewa yule dogo akaanza kuwasiliana nae kwa signals palepale na mamake akiwepo. mama akitazama kushoto au cjui kaunta au anaongea na simu, dogo anampa jamaa sign. hauwezi kuamini yule dogo alimpa namba jamaa bila mama yake kujua.

ni muhimu kuwaelimisha hawa madogo ngono salama tu kwakweli maana kuwadhibiti haiwezekani hata kidogo.
Ndio hivyo mkuu, kama hajaanza hizo mbanga basi jitahidi kumuepusha nazo ila kama keshaanza mpe elimu ajilinde tu hamna namna, vipigo vya kila siku utaishia kumkimbiza tu.

Kuna dogo nae tulikua tunamuamini kua ni innocent kumbe hola, kuja kujua vioja vyake ikabidi apewe elimu tu ajikinge vipi, mama na shangazi zake walikaa nae kitako.
Sasa anaendelea vyema tu, miaka 17 ni binti mkubwa anabeba Me wa age yoyote.
 
Labda kabla sijaanza uchunguzi wangu wewe uwe sample ya kwanza.

Huyo mumeo hapo nyumbani ktk hao watoto anaojidai ni wa kwake wangapi wa kwake wangapi ni wa kimada wako?(maana wewe ndiye unaejua),so ikiwa wanaume tuna shida ya kuzalisha ndiyo ushangilie wanao kuzalia nyumbani?tena wakingali wadogo?
Hakuna cha kabla, kapime DNA!
 
Back
Top Bottom