Wazazi hamuongei na binti zenu.
Ishu sio kujiamulia hata asipojiamulia kama hana maarifa mimba atapata tu.
Ufinyu wa maarifa ndio huzalisha hizo mimba mfululu, kama baba/mama unaona aibu kumfundisha binti yako ajikinge vipi na mizagamuo usitegemee miaka hii ya technology vitisho vyako vitamzuia kupigwa pipe.
Assume unaishi jiji kama Dsm, Mwanza,Arusha eti umfukuze binti kigori wa miaka 17 utegemee atakosa pa kwenda, utaishia kumpoteza zaidi.
Maisha yanabadilika wakuu, tusipokubali kubadilika na kuzidi kusolve matatizo kizamani basi tutazidi kukuza tatizo.