mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mambo haya hata serikali ya ccm inapendaMaybe mfano huu utanielewa, huyu ni Mtanzania mwenzetu, na huyu ni mwanamke anacheza mziki wa Singeli ambao Waziri ambaye ni mwana CCM anataka mziki kama huu Ndio uwe utambulisho wetu kimataifa.
Hizi nyimbo zinachangia pakubwa Sana mmomonyoko WA malezi na maadili kwenye jamii ambapo huishia kuchagiza Ngono zembe, early adolescents pregnancies na STIS.
KUMBUKA:
hawa ndio CCM wanaowatumia hawa Wa Singeli ili kupata Kura..... nadhani unaanza kunielewa
View attachment 3242823
Ova