Sasa sasa hivi utamuozesha mtu ambae bado anasoma? Utaiambiaje jamuhuri ili ikuelewe? Inshort mambo yameshabadilika kwa maana hiyo zamani unayoisemea wewe hata kijana ambae tayari ameshabalehe na ameshaanza maisha ya kujitegemea lazima aoe na asipooa vikao vitakaliwa ili aseme ako na shida gani ila siku hizi watu hadi wanaota mvi hawaoi na wala hamna cha kuwafanya kwasababu si jambo la ajabu tena siku hizi.
Kwahiyo siku hizi ni utapeli tu ndio umejaa kwenye mapenzi, na utapeli huu unawaumiza zaidi watoto wa kike kuliko wa kiume kwa maana mtu aliyetia mimba Hana alama ila aliyetiwa anabaki na alama ya maisha.
Tuwafunze watoto wetu wakiume wawe wanaume ili wajue namna ya kuwalinda Hawa wanawake hasa katika upande huo wa kuzalia nyumbani.
Kwasababu hakuna maadili yatakayoweza kuwazuia watoto wakike waache kufanya mapenzi, as long as wanakula na kushiba, lakini je, wanafanyaje hayo mapenzi? Hapo ndio pakupafanyia kazi.
Mkuu kama una watoto wa kike basi wana hasara kubwa ya kupata baba kama ww.
Ww unasema watoto wa kike hawawezi kujizuia vipi kuhusu watoto wa kiume ndo wenye uwezo wa kujizuia?
Mlinzi wa kwanza wa mwili wako ni ww mwenyewe maana ndo unajua thamani yako na si kutegemea mtu ambaye mmekutana ukubwani eti akulindie thamani ya mwili wako huo utakuwa ni upumbavu wa hali ya juu.
% 95 ya masingo mother ,usingo mother wao walijitakia tena waliutafuta kwa nguvu.
Kati ya hao masingo mother wapo ambao kipindi cha ubinti wao walisha fuatwa na wanaume kibao wa maana wenye nia nzuri ya kujenga nao familia lakini waliwakataa kwa kisingizio cha hawana hisia nao sijui ni washamba alafu wakaenda kutembea na mabad boy wanyoa viduku,bodaboda,wabani sidii,wavuta bangi.
Wapo walio fuatwa na wanaume wenye nia nzuri ya kuwaowa wakawakataa badala yake wakaenda kufanya umalaya na waume za watu huku wakiwa wanajua kabisa.
Wapo masingo mother walio onywa juu ya mienendo yao na watu wazima wao wakajibu mimi nimesha kuwa mtu mzima nina uwezo wa kujiamlia.
Kinacho ponza wanawake wa siku hizi ni tamaa na uzungu wa kipumbavu na ndio maana hata baada ya kuolewa bado wanaendelexa umalaya wakati ana mme ndani.
Nyinyi wenye tabia za kuwaaminisha wanawake kuwa watatizo yao yana sababishwa na wanaume ndo waharibifu wakubwa wa wanawake wa kizazi cha sasa.
Familia za sasa zimeharibika si kwa watoto wa kiume wala wa kike kwasababu nyinyi wazazi mmeendekeza uliberali kwenye familia.