Chawa with Kunguni
Member
- Feb 20, 2025
- 46
- 36
General Tyre East Africa (GTEA)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akiliI'm not a woman but if we think having kids before wedlock is an abomination why should we encourage men to hunt for sex while we know the possible end product. Why tusikataze sex as the source of all evil
Hutakiwi kufanya hivyo vitu mbele ya watoto wako, wataiga tu!Kuna kipindi nilikua nikikaa home jioni napuliza mjani wangu huku pembeni nachamba koo na K-Vant kubwa.....
Sasa wakati huo nikawa nawaambia watoto wangu kwamba "siku akija kutokea mtu akavuta mibenge na mipombe hapa ndani, basi atafute kwao nyingine na nisimuone anakanyaga nyumbani kwangu"... qudadadadeqi....☹️
sahihi kabisa mkuuExposure ya mitandao ya kijamii,mass media, na utandawazi vimechangia kuharibu watoto hasa wa kike.
Wazazi wanaplay part yao wanajitahidi sana, lakini vishawishi na vichochezi ni vingi na vipo mikononi mwa watoto,sebuleni, mtaani,shuleni na kote waendako.
Kuna mtoto wa mchungaji anafundishwa vyema kabisa maadili na wazazi wapo makini nae, ila kaishia kuzalia nyumbani na ni danga konki.
kubali utandawazi umebadilisha mambo mengi sanaaMitandao mda mwingine mnaisingizia tu msingi unaanzia chini
Watt wenyew wazaz mdio tuna wahatibu hv mtt mdog inanzaje mkukata nywele kama kichwa cha chn mtt wa kike mama leo nalala kwa kina NancyJuzi nilimtandika bakora kwa kutumia mswaki binti yangu wa miaka 3, basi mamaake akanikatajicho la hasira na huruma, nami nikamtolea jicha fkani kali sana huyoooo akatoka nje.
Siku iliyo fuata mtoto akaniambia " baba leo toto asumbui kabisaaa".... akaongeza kwa kusema "miakula ugali na baba toto".....🤣 hapo ilikua saa nne asubuhi muda wangu wa kuka ugali...🤨.
Tatizo wazazi tunawapa watoto shule nzuri, chakula kizuri, mavazi mazuri, tiba nzuri.... lakini tunasahau kuwapa malezi yanayo faa kwa manufaa yao baadae pindi watakapo kua na kesho yao
Faza umeandikaa 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Watt wenyew wazaz mdio tuna wahatibu hv mtt mdog inanzaje mkukata nywele kama kichwa cha chn mtt wa kike mama leo nalala kwa kina Nancy
Kuna birthday sijui shule jratu mpk jpl huna tatjmin humo humo watt wananza kuharibika
Kwani kati ya mwanaume na binti nani anatanua mapaja yake na kukubali kupokea mimba? Huyo binti kama anajielewa si akatae.Thank you. Unfortunately only women take the fall for the aftermath like a single mother is blamed by everybody but a single father anahurumiwa for raising three kids all alone even if alipata kwa 3 different women. It doesn't make sense at all
Wazazi wengi siku hizi hawatekelezi majukumu yao, hawahudumii watoto wao.Kuna wazazi sasa hivi mnausasa wa kuwaacha watoto wajifanyie wanavyo taka wao yaani wanajifanyia maamuzi ndio maana sasaivi wasichana wengi wamezalia nyumbani na mmelizikia hivi ni kawaida mtoto wa kike kazalia nyumbani mtoto wa kwanza ukasema bahati mbaya na wa pili anazalia nyumbani na baba tofauti na bado unaendelea kumlea hapo kwako kweli?
Zamani haikuwa ivyo kabisa watu walikuwa wanajichunga ila sasaivi uhuru umepitiliza embu wazazi acheni usasa ndio maana sasa hivi mwanaume apewi thamani yake kama zamani wakati kipindi cha nyuma mwanaume alikuwa anathaminiwa sana tofauti na sasa mwanaume wanatumika tu vibaya hii lekebisheni wazazi wafunzeni watoto wakike wajue thamani ya mwanaume wajue kuwa mwanaume ni nan
Hudumieni watoto wenu hasa wa kike.Nafikiri mtoto wakike atanatakiwa ajue yeye ni nani?
Wana zaa zaa hovyoo
Watoto wanaozalia nyumbani wengi ni wa masikini, wazazi hawatimizi majukumu yao ya kuhudumia watoto.Ila kujitambua kwa mtoto kuna anzia kwenye familia
Zamani wazazi walikuwa wanapambana kulima, kufuga, useremala n.k ili kuhudumia watoto wao na pia watoto muda mwingi walikuwa wana kazi za kufanya tofauti na sasa.Zamani binti akibeba mimba anatimuliwa nyumbani akapambane huko maana anakuwa ameshakuwa mkubwa, saizi tunafurahia
Pia kwa sababu ya watu kuishi mijini zaidi kuliko vijijini kama zamani ambapo mwanaume na mwanamke walikuwa wanakutana kisimani au mtoni tu wakati wanachota maji.Exposure ya mitandao ya kijamii,mass media, na utandawazi vimechangia kuharibu watoto hasa wa kike.
Wazazi wanaplay part yao wanajitahidi sana, lakini vishawishi na vichochezi ni vingi na vipo mikononi mwa watoto,sebuleni, mtaani,shuleni na kote waendako.
Kuna mtoto wa mchungaji anafundishwa vyema kabisa maadili na wazazi wapo makini nae, ila kaishia kuzalia nyumbani na ni danga konki.
Kuna wazazi sasa hivi mnausasa wa kuwaacha watoto wajifanyie wanavyo taka wao yaani wanajifanyia maamuzi ndio maana sasaivi wasichana wengi wamezalia nyumbani na mmelizikia hivi ni kawaida mtoto wa kike kazalia nyumbani mtoto wa kwanza ukasema bahati mbaya na wa pili anazalia nyumbani na baba tofauti na bado unaendelea kumlea hapo kwako kweli?
Zamani haikuwa ivyo kabisa watu walikuwa wanajichunga ila sasaivi uhuru umepitiliza embu wazazi acheni usasa ndio maana sasa hivi mwanaume apewi thamani yake kama zamani wakati kipindi cha nyuma mwanaume alikuwa anathaminiwa sana tofauti na sasa mwanaume wanatumika tu vibaya hii lekebisheni wazazi wafunzeni watoto wakike wajue thamani ya mwanaume wajue kuwa mwanaume ni nan
Hata period za hao wanawake mpaka Leo hatujui vizuri zinafanyaje kazi hivyo hamuwezi kutulaumu kwenye mimbaWhat about "men". So it's okay for them kuzaa hovyo hovyo cause hawabebi ujauzito?.. Kwa nini all the blame should be taken by women while men are the predators
Yote hii chimbuko lake ni kukosekana kwa baba mwenye msimamo na sauti ya kiume kwenye familia. Father's instill discipline kwa watoto. Ila sasa wababa wenyewe wapo bize wanalelewa. Itakuwaje sasaKuna wazazi sasa hivi mnausasa wa kuwaacha watoto wajifanyie wanavyo taka wao yaani wanajifanyia maamuzi ndio maana sasaivi wasichana wengi wamezalia nyumbani na mmelizikia hivi ni kawaida mtoto wa kike kazalia nyumbani mtoto wa kwanza ukasema bahati mbaya na wa pili anazalia nyumbani na baba tofauti na bado unaendelea kumlea hapo kwako kweli?
Zamani haikuwa ivyo kabisa watu walikuwa wanajichunga ila sasaivi uhuru umepitiliza embu wazazi acheni usasa ndio maana sasa hivi mwanaume apewi thamani yake kama zamani wakati kipindi cha nyuma mwanaume alikuwa anathaminiwa sana tofauti na sasa mwanaume wanatumika tu vibaya hii lekebisheni wazazi wafunzeni watoto wakike wajue thamani ya mwanaume wajue kuwa mwanaume ni nan