Malezi ya sasa hivi ni mabovu kabisa

Malezi ya sasa hivi ni mabovu kabisa

Exposure ya mitandao ya kijamii,mass media, na utandawazi vimechangia kuharibu watoto hasa wa kike.
Wazazi wanaplay part yao wanajitahidi sana, lakini vishawishi na vichochezi ni vingi na vipo mikononi mwa watoto,sebuleni, mtaani,shuleni na kote waendako.

Kuna mtoto wa mchungaji anafundishwa vyema kabisa maadili na wazazi wapo makini nae, ila kaishia kuzalia nyumbani na ni danga konki.
Mitandao mda mwingine mnaisingizia tu msingi unaanzia chini
 
Kuna kipindi nilikua nikikaa home jioni napuliza mjani wangu huku pembeni nachamba koo na K-Vant kubwa.....
Sasa wakati huo nikawa nawaambia watoto wangu kwamba "siku akija kutokea mtu akavuta mibenge na mipombe hapa ndani, basi atafute kwao nyingine na nisimuone anakanyaga nyumbani kwangu"... qudadadadeqi....☹️
Watoto wana weka vitu akilini wameona kwako na wameona hakuna madhara na wao watatamani kujaribu mkuu
 
Tulikuwa tunawasimanga wazungu kuwa wanamaadili mabovu, aisee kwa haya malezi ya sasa plus umasikini naiona Tanzania yenye jamii ya hovyo kuliko uhovyo wenyewe.
Sasaiv unaweza kwenda ugenini umekaa mnaongea mtoto wa mwenyeji wako wakike anapita na dera hajavaa nguo ndani anakuja kuwaletea maji unajiuliza hivi mama yake hajaona ua?
 
Topic ni malezi sio kuzaa, unless mada yako ni Mambo ya uzazi na sio malezi
Maybe mfano huu utanielewa, huyu ni Mtanzania mwenzetu, na huyu ni mwanamke anacheza mziki wa Singeli ambao Waziri ambaye ni mwana CCM anataka mziki kama huu Ndio uwe utambulisho wetu kimataifa.

Hizi nyimbo zinachangia pakubwa Sana mmomonyoko WA malezi na maadili kwenye jamii ambapo huishia kuchagiza Ngono zembe, early adolescents pregnancies na STIS.
KUMBUKA:
hawa ndio CCM wanaowatumia hawa Wa Singeli ili kupata Kura..... nadhani unaanza kunielewa
 
Kweli kabisa,

Hao vijana wanaotia mimba hovyo ni tatizo kubwa pia.
Thank you. Unfortunately only women take the fall for the aftermath like a single mother is blamed by everybody but a single father anahurumiwa for raising three kids all alone even if alipata kwa 3 different women. It doesn't make sense at all
 
Mambo yamegeuka na hapo hajaolewa, atazaa tena na mwanaume mwingine, kipindi cha nyuma wanawake wakiambiwa ni kiwanda cha kuzalisha walikuwa wanakuwa wakali, sasa saizi binti anapewa mimba, anazaa mwanaume anaingia mitini, anakuja mwanaume mwingine anaweka anasepa anakuja mwanamke mwingine naye anasepa
Na wanajisifu kabisa unakuta mmama anasema hawa watoto wangu kila mmoja na baba yake..bila wasiwasi.
 
I'm not a woman but if we think having kids before wedlock is an abomination why should we encourage men to hunt for sex while we know the possible end product. Why tusikataze sex as the source of all evil
Malezi zamani ilikuwa unajua mtoto ana nunuliwa lakn now mtoto mdogo anajau mtoto anapatikanaje
 
Back
Top Bottom