Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Uwanja wa Majimaji Songea pia wananchi kwa sasa wazee wanakumbuka shuruba walizopata. Ilikuwa hatari sanaUwanja was Mapinduzi mkoani Mbeya ulijengwa na wananchi, meaka 1984 alipofariki EDWARD MORINGE SOKOINE, uwanja ukabadilishwa jina.
Nikishangaa mwaka 1991 CCM wakatangaza kuwa ni uwanja wao.
Kuna siku raia wapenda hakiwatatambua kuwa adui yao mkubwa NI CCM, huo utakuwa ni mwanzo TU, CCM Chanzo Cha Matatizo