Mali za CCM zilizotokana na makato kwa raia wote wakati wa chama kimoja ni haki ya nani?

Uwanja wa Majimaji Songea pia wananchi kwa sasa wazee wanakumbuka shuruba walizopata. Ilikuwa hatari sana
 
I see!
Ndo nazaliwa June na sasa nina mvi!
Itakuwa ulikuwa unajitunza kimwili na kiroho au ukaolewa na mme asiyekustress hadi leo tuko wote humu na bado cells zinazaliana!
Binafs nakumbuka makato kwenye mauzo ya kahawa kila mkulima kuelekezwa mali za ccm ya leo.
 

Attachments

CCM IMEPORA MALI ZA WANANCHI NA KUJIMILIKISHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…