Mali za Magufuli na wote waliohusika kuvunja mikataba kiholela zikamatwe kufidia deni ili ndege yetu iachiwe

Mali za Magufuli na wote waliohusika kuvunja mikataba kiholela zikamatwe kufidia deni ili ndege yetu iachiwe

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Ifike wakati sasa hatua stahiki zichukuliwe ili iwe mfano kwa watu wote wanaopata uongozi katika nchi hii. Magufuli na wote waliohusika sasa ni wakati wafilisiwe.

Mtu hawezi kuwa anajiamulia mambo bila kufuata sheria na utaratibu halafu kodi zetu ndio ziwe zinatumika kulipia badala ya kutuletea maendeleo.
 
Na wale wote walioingia mikataba ya kipumbavu mpaka jpm akaivunja nao wakamatwe na wonyongwe hadharani[emoji35][emoji35][emoji35]
Huku ndiko kukurupuka kwenyewe. Jpm alikuwa hana mamlaka ya kuvunja mikataba wowote. Sheria hainiruhusu kabisa ispokuwa mahakama tu. Jpm mamlaka yake yanakoma kwenye urais tu siyo kuingilia mahakama. Ndo maana Mambo yalikuwa shagalabagala kwa kuhalibu kila kitu. Ashtakiwe tu japo ameshaoza
 
Ifike wakati sasa hatua stahiki zichukuliwe ili iwe mfano kwa watu wote wanaopata uongozi katika nchi hii. Magufuli na wote waliohusika sasa ni wakati wafilisiwe.

Mtu hawezi kuwa anajiamulia mambo bila kufuata sheria na utaratibu halafu kodi zetu ndio ziwe zinatumika kulipia badala ya kutuletea maendeleo.
Umeongea kama hauna kichwa
 
Magufuli alikuwa sahihi.awamu iliyomtangulia magufuli ndiyo ilikuwa ya wapuuzi wengi aliyoingia mikataba ya kipuuzi ya kufilisi nchi na kunufaisha hao wawekezaji uchwara.In sasa tu na awamu ya huyu mother inawapuuzi wengi wanaotetea mikataba ya kipuuzi
 
Ifike wakati sasa hatua stahiki zichukuliwe ili iwe mfano kwa watu wote wanaopata uongozi katika nchi hii. Magufuli na wote waliohusika sasa ni wakati wafilisiwe.

Mtu hawezi kuwa anajiamulia mambo bila kufuata sheria na utaratibu halafu kodi zetu ndio ziwe zinatumika kulipia badala ya kutuletea maendeleo.
Mkuu hebu Jiulize kidogo maswali haya pengine utajua nani anapaswa kufilisiwa.

Hiyo mikataba Ilivunjwa kwa sababu gani?

Kasoro zake ni nini?

Mikataba ilikuwa ni ya kinyonyaji, kama ndio je ilikuwa ni yakinyonyaji kiasigani?

Mikataba ilikuwa inamfaidisha nani?.
 
Na wale wote walioingia mikataba ya kipumbavu mpaka jpm akaivunja nao wakamatwe na wonyongwe hadharani[emoji35][emoji35][emoji35]
Mikataba mingi ilikuwa vizuri na mizuri sana ispokuwa Magufuli ilimlazimu azungumze uongo ili kui crash na tuone waliyoiingia walikuwa hawafai it's was somesort of, yeye awe zaidi ya wote hata kumpita Nyerere, ili akubalike na wajinga walio wengi kwa kigezo cha kuwaita "wanyonge" nao wakaitika naam, ili kutayarisha njia ya kuwa, DICTATOR KAMILI, KUVUNJA KATIBA NA YOTE MAOVU.
NI DHAMBI KUBWA KUFANYA JAMBO AU KUZUNGUMZA JAMBO ILI MWENZAKO AONEKANE HANA MAANA NA HAFAI.
 
Magufuli alikuwa sahihi.awamu iliyomtangulia magufuli ndiyo ilikuwa ya wapuuzi wengi aliyoingia mikataba ya kipuuzi ya kufilisi nchi na kunufaisha hao wawekezaji uchwara.In sasa tu na awamu ya huyu mother inawapuuzi wengi wanaotetea mikataba ya kipuuzi
Kuona makosa ya wenzako unatakiwa uwarekebishe wenzako sio kufanya makosa zaidi. Ndio kinachotucost na hivyo mwamba alikua anapenda sifa basi ndio kila siku anaharibu tu
 
Mkuu hebu Jiulize kidogo maswali haya pengine utajua nani anapaswa kufilisiwa.

Hiyo mikataba Ilivunjwa kwa sababu gani?

Kasoro zake ni nini?

Mikataba ilikuwa ni ya kinyonyaji, kama ndio je ilikuwa ni yakinyonyaji kiasigani?

Mikataba ilikuwa inamfaidisha nani?.
Angefuata taratibu za kisheria na sio kukurupuka.

Dunia ina sheria zake ambazo wamejiwekea hawezi kutokea kichaa mmoja tena kutoka nchi iliyo jaa umasikini akafanya mambo kiholela alafu akatizamwa tu.

Haya alivunja mkataba kwa kuuhita ni wa kinyonyaji lakini leo tunatakiwa kuwalipa tena hela haohao wanyinyaji ambazo hawaja zifanyia hata kazi.
sasa hapo alikwepa nn na alifanya nn kama sio kukurupuka?

Kiufupi Magufuri alizengua sana tena sana alikuwa yuko tiyari taifa ligharamike ili mradi tu apate sifa za watu wajinga na wasio na elimu na alifanikiwa.

Yote kwa yote CCM ni tatizo ndani ya nchi hii.

Ili nchi hii iendelee inatakiwa kitanzi kitumike dhidi ya hawa wapuuzi wenye tabia ya kufanya mzaa na kodi za watz bila kujali.
 
Mikataba mingi ilikuwa vizuri na mizuri sana ispokuwa Magufuli ilimlazimu azungumze uongo ili kui crash na tuone waliyoiingia walikuwa hawafai it's was somesort of, yeye awe zaidi ya wote hata kumpita Nyerere, ili akubalike na wajinga walio wengi kwa kigezo cha kuwaita "wanyonge" nao wakaitika naam, ili kutayarisha njia ya kuwa, DICTATOR KAMILI, KUVUNJA KATIBA NA YOTE MAOVU.
NI DHAMBI KUBWA KUFANYA JAMBO AU KUZUNGUMZA JAMBO ILI MWENZAKO AONEKANE HANA MAANA NA HAFAI.
Hapo umenena.
 
Ndioo uwezo wako wa kufikiri umefikia hapo

Ovyooo kabisaa

Kama huna cha kuandika ni bora ungekaa kimya kuliko kupuyanga

Ungeonekana wa maana zaidi kuliko sasa unavyooneka kitukooo
Ifike wakati sasa hatua stahiki zichukuliwe ili iwe mfano kwa watu wote wanaopata uongozi katika nchi hii. Magufuli na wote waliohusika sasa ni wakati wafilisiwe.

Mtu hawezi kuwa anajiamulia mambo bila kufuata sheria na utaratibu halafu kodi zetu ndio ziwe zinatumika kulipia badala ya kutuletea maendeleo.
 
Na kwa jinsibde
Mikataba mingi ilikuwa vizuri na mizuri sana ispokuwa Magufuli ilimlazimu azungumze uongo ili kui crash na tuone waliyoiingia walikuwa hawafai it's was somesort of, yeye awe zaidi ya wote hata kumpita Nyerere, ili akubalike na wajinga walio wengi kwa kigezo cha kuwaita "wanyonge" nao wakaitika naam, ili kutayarisha njia ya kuwa, DICTATOR KAMILI, KUVUNJA KATIBA NA YOTE MAOVU.
NI DHAMBI KUBWA KUFANYA JAMBO AU KUZUNGUMZA JAMBO ILI MWENZAKO AONEKANE HANA MAANA NA HAFAI.
Na kwa jinsindemokrasia ilivyo ni wengi wape, naoba niishie hapo..
 
Ifike wakati sasa hatua stahiki zichukuliwe ili iwe mfano kwa watu wote wanaopata uongozi katika nchi hii. Magufuli na wote waliohusika sasa ni wakati wafilisiwe.

Mtu hawezi kuwa anajiamulia mambo bila kufuata sheria na utaratibu halafu kodi zetu ndio ziwe zinatumika kulipia badala ya kutuletea maendeleo.
Waliosaini hio mikataba ya kichoko waanze kufilisiwa kabla ya kuanza kumfilisi mzalendo jpm
 
Back
Top Bottom