Mali za Magufuli na wote waliohusika kuvunja mikataba kiholela zikamatwe kufidia deni ili ndege yetu iachiwe

Mali za Magufuli na wote waliohusika kuvunja mikataba kiholela zikamatwe kufidia deni ili ndege yetu iachiwe

Ni kweli hata sasa hali ilivyo ni kama tuko Eden naona hata Marekani wanatuonea wivu jinsi ambavyo gharama za maisha zimeshuka baada ya bwana yule kutoweka ulimwenguni.

Huduma za kijamii zimeboreshwa sana naona umeme na maji ni ya uhakika mno. Hakika bwana yule aliwasingizia mafisadi na kuwashambulia wapiga dili. Naona nchi iko pazuri mno kuliko kipindi chake sahizi watu wanawajibika ipasavyo kwenye majukumu ya kujenga taifa na soon watatuletea katiba pendekezwa ya wananchi.
Hata wakati wake mambo hayakuwa mazuri au unadhani tumesahau? Vyuma kukaza ilikuwa kipindi cha nani? Na hata ingekuwa ni yeye rais sasa, bado mgao wa maji na umeme ungekuwepo.
 
Angefuata taratibu za kisheria na sio kukurupuka.

Dunia ina sheria zake ambazo wamejiwekea hawezi kutokea kichaa mmoja tena kutoka nchi iliyo jaa umasikini akafanya mambo kiholela alafu akatizamwa tu.

Haya alivunja mkataba kwa kuuhita ni wa kinyonyaji lakini leo tunatakiwa kuwalipa tena hela haohao wanyinyaji ambazo hawaja zifanyia hata kazi.
sasa hapo alikwepa nn na alifanya nn kama sio kukurupuka?

Kiufupi Magufuri alizengua sana tena sana alikuwa yuko tiyari taifa ligharamike ili mradi tu apate sifa za watu wajinga na wasio na elimu na alifanikiwa.

Yote kwa yote CCM ni tatizo ndani ya nchi hii.

Ili nchi hii iendelee inatakiwa kitanzi kitumike dhidi ya hawa wapuuzi wenye tabia ya kufanya mzaa na kodi za watz bila kujali.
Ndio maana tunatakiwa kuuliza mikataba Ilivunjwa kwa sababu gani ilinasisi tusionekane tunakurupuka kumlaumu alievunja.

Wenye akili wanatafuta mizizi ya tatizo sio kudili na matawi.
Kunawatu wametufikisha hapo kwenye hizo hasara tunazopata kwa faida zao.
Binafsi nampongeza hayati kwauamuzi huo wakuifuta sababu hasara tunazopata kama tunaakili tutajiuliza kwanini tuliingia mikataba ya hovyo kiasihicho na ndio itatutia hasira ya kufanya mabadiliko.

Vinginevyo tutaonekana kama majuha ambao tunahangaika kuzima moshi wakati chanzo cha moto tunakiona.
 
Hata wakati wake mambo hayakuwa mazuri au unadhani tumesahau? Vyuma kukaza ilikuwa kipindi cha nani? Na hata ingekuwa ni yeye rais sasa, bado mgao wa maji na umeme ungekuwepo.
Wewe utakuwa mlamba asali, uliza wafanyabiashara watakwambia. Game imekuwa ngumu sana.
 
Ifike wakati sasa hatua stahiki zichukuliwe ili iwe mfano kwa watu wote wanaopata uongozi katika nchi hii. Magufuli na wote waliohusika sasa ni wakati wafilisiwe.

Mtu hawezi kuwa anajiamulia mambo bila kufuata sheria na utaratibu halafu kodi zetu ndio ziwe zinatumika kulipia badala ya kutuletea maendeleo.
Bila katiba mpya, hizi ni kelele tu masikioni mwa watawala.
 
Ndio maana tunatakiwa kuuliza mikataba Ilivunjwa kwa sababu gani ilinasisi tusionekane tunakurupuka kumlaumu alievunja.

Wenye akili wanatafuta mizizi ya tatizo sio kudili na matawi.
Kunawatu wametufikisha hapo kwenye hizo hasara tunazopata kwa faida zao.
Binafsi nampongeza hayati kwauamuzi huo wakuifuta sababu hasara tunazopata kama tunaakili tutajiuliza kwanini tuliingia mikataba ya hovyo kiasihicho na ndio itatutia hasira ya kufanya mabadiliko.

Vinginevyo tutaonekana kama majuha ambao tunahangaika kuzima moshi wakati chanzo cha moto tunakiona.
Basi mkiambiwa mlipe tozo kwa ajili ya kulipa hizo pesa msije hapa kuanza kupaya payuka hovyo hovyo na kumlaumu mama wa watu ,wakati mpo mnamtetea huyo mshamba na mpuuzi aliye sababisha hiyo hasara.

Kwani kuna sehemu aliyo katazwa kuuvunja mkataba ?kinacho pingwa ni kuvunja mkataba kiholela bila kufuata hatua za kisheria kitu ambacho sasa kinaligharimu taifa.

Hata ww hapo mtu akikukosea unacho takiwa ni kwenda mahakamani kumshitaki na sio kujichukia sheria mkononi maana utajikuta kwenye matatizo makubwa pamoja utaonekana upo kwenye haki.

Mna mkuza sana huyo Magufuri utadhani chini chini ya uongozi wake Tz ilikuwa kama Dubai au Qtaar ?wakati ilikuwa nchi ya hovyo kuliko na iliyo jaa mambo ya hovyo kuliko wakati wowote tangu nchi hii hiasisiwe.

Huo mkataba kama aliuona ni wa kinyonyaji mbona walio usaini hawakuchukiwa hatua yeyote chini ya utawala wake?
 
Ifike wakati sasa hatua stahiki zichukuliwe ili iwe mfano kwa watu wote wanaopata uongozi katika nchi hii. Magufuli na wote waliohusika sasa ni wakati wafilisiwe.

Mtu hawezi kuwa anajiamulia mambo bila kufuata sheria na utaratibu halafu kodi zetu ndio ziwe zinatumika kulipia badala ya kutuletea maendeleo.

Ipi kubwa faida na hasara aliyosababisha , wakipiga wakitaifisha wakugawie wewe na ndugu zako ya nini makasiriko!
 
Ifike wakati sasa hatua stahiki zichukuliwe ili iwe mfano kwa watu wote wanaopata uongozi katika nchi hii. Magufuli na wote waliohusika sasa ni wakati wafilisiwe.

Mtu hawezi kuwa anajiamulia mambo bila kufuata sheria na utaratibu halafu kodi zetu ndio ziwe zinatumika kulipia badala ya kutuletea maendeleo.
Tutajie mali unayoijua ya Magufuli
 
Hiyo mikataba ingefuatwa hasara ingekuwa mara 10 ya hiki unachodaiwa.badala ya kuhukumu wale waliogoma kutekeleza hii mikataba ya kinyonyaji basi tukamate walioiasisi na kuisaini bila kuzingatia maslahi ya umma sababu ya rushwa na tamaa ya utajiri.
 
Ifike wakati sasa hatua stahiki zichukuliwe ili iwe mfano kwa watu wote wanaopata uongozi katika nchi hii. Magufuli na wote waliohusika sasa ni wakati wafilisiwe.

Mtu hawezi kuwa anajiamulia mambo bila kufuata sheria na utaratibu halafu kodi zetu ndio ziwe zinatumika kulipia badala ya kutuletea maendeleo.
We ngoja familia ya JPM itamke kuwa sa100 ndiye aliye mniga JPM ndiyo utajua ujui
 
Mtoa mada upo sawa kweli watu waligawana hela kwenye bahasha na kapu za kwendea sokoni mpaka Leo wanadunda mjini na wengine wapo bungeni wale ndio wa kurudisha pesa sio huyo aliyesitisha mikataba mibovu.
 
.
Acha kujibu ujinga bila research, walilipa 1st installment $200m.

Weka receipt za malipo hapa. Hizi taarifa za kuambiwa na majitu maongo baki nazo. Hakuna mzungu mjinga boss.
 
Nafikili kwa mazuri aliyoyafanya na aliyotuachia na yeye alitakiwa apate vinono naye ale. Wengine wamekula vinono baada ya kustaafu na yeye kala vya kwake ndo akatutoka sioni shida iko wapi.

Kinyago cha msoga hadi leo kinaitafuna nchi wala hamkisemi kwa vile ndo kinawalinda, tukitaka hivyo nashauri tuanze na hiki kinyago. Kakaa miaka 10 hakuna lolote aliloliacha kwa nchi zaidi ya kuizunguka dunia kama sayari.
 
Kama unangoja litokee, keep dreaming
Si mmesema wapokonye
mali za mzalendo no1 jpm wakati muhuni singasinga anakula bata na pesa za rumbesa hadi kamfungulia sa100 kituo cha tv zenji
 
Huku ndiko kukurupuka kwenyewe. Jpm alikuwa hana mamlaka ya kuvunja mikataba wowote. Sheria hainiruhusu kabisa ispokuwa mahakama tu. Jpm mamlaka yake yanakoma kwenye urais tu siyo kuingilia mahakama. Ndo maana Mambo yalikuwa shagalabagala kwa kuhalibu kila kitu. Ashtakiwe tu japo ameshaoza
Mkuu ukipewa ardhi husipo iendeleza kwa miaka mingi serikali inaouwezo wa kuichukua, mfano matapeli wa Bagamoyo Magufuli kaichukua na kumgaiya Bakhressa na sasa hivi sukari inazalishwa
 
Mkuu ukipewa ardhi husipo iendeleza kwa miaka mingi serikali inaouwezo wa kuichukua, mfano matapeli wa Bagamoyo Magufuli kaichukua na kumgaiya Bakhressa na sasa hivi sukari inazalishwa
Kwa Sheria ipi
 
Back
Top Bottom