Mali za Magufuli na wote waliohusika kuvunja mikataba kiholela zikamatwe kufidia deni ili ndege yetu iachiwe

Weka receipt za malipo hapa. Hizi taarifa za kuambiwa na majitu maongo baki nazo. Hakuna mzungu mjinga boss.
.
Kama huamini taarifa hiyo, unaaminije taarifa zingine zinazotolewa na serikali?
 
Acha kutaka kusukuma mbuyu utaishia kutikisa matako tuuu
Cha muhimu mkisikia hata kichaaa anataka katiba mpya ni kumuunga mkono tuuu kupitia hilo ndio uzi wako utafanya kazi lkn tofauti na hilo naweza kusema unajisumbua tuuu
Umenena kwa wenye akili wamekuelewa !!
 
Akili zetu ni kama zimeganda, tunafanya mambo hovyo hovyo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…