tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Kwa hio wewe ulitaka kodi za wananchi ziliwe na hawa wahaya bila kuhojiwa? Poor you!Afrika kweli ni bara la giza, simtetei hata mmojawapo hapo, ila hayo makosa hayakuonekana wakati mwingine wowote isipokuwa sasa kwenye mchakato wa uchaguzi! Na ndo kusema wala hayadhaminiki kwamba hawawezi kuwa nje kwa dhamana! Kwamba wamekosa wadhamini au kujidhamini wenyewe!! Kweli 'dirty politics belongs in Africa!