The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Njoo kipenzi changu uegemeze kichwa chako kifuani mwangu huku ukisikia mapigo yangu ya moyo nikikupapasa kwa taratibu. Machozi yako yakidondoka na kutiririka kwenye garden love.Aniache kabisa yaani
Hata yeye mwenyewe alijua siku moja atakufa. Hata wewe na mimi siku moja tutakufa... ila hatujui sababu ya vifo vyetu.Pole mpenzi utakua umeamini kuwa Covid ipo na inaua, tulitaka tupoteze mtu muhimu ndio hakili zikae sawa. Tu
Nimesoma nikirudia rudia kwa hisia sana, nimekuelewa mama D!Hata yeye mwenyewe alijua siku moja atakufa. Hata wewe na mimi siku moja tutakufa... ila hatujui sababu ya vifo vyetu.
View attachment 1728518
Kila mwanadamu aliyeumbwa na mwanamke siku zake za kuishi ni chache
View attachment 1728520
Rest well my President, Pole sana kwa watanzania na wote walioguswa
Mungu awape imani amani na utulive Samia Suluhu Hassana, wasaidizi wengine wote na watanzania wote kwa msiba huu
Pole kwa msiba Chuku chukuNimesoma nikirudia rudia kwa hisia sana, nimekuelewa mama D!
Mataga woteCc. Wachawi wote.
Asante!Pole kwa msiba Chuku chuku
Hakuna binadam alieumbwa na mwanamkeHata yeye mwenyewe alijua siku moja atakufa. Hata wewe na mimi siku moja tutakufa... ila hatujui sababu ya vifo vyetu.
View attachment 1728518
Kila mwanadamu aliyeumbwa na mwanamke siku zake za kuishi ni chache
View attachment 1728520
Rest well my President, Pole sana kwa watanzania na wote walioguswa
Mungu awape imani amani na utulive Samia Suluhu Hassana, wasaidizi wengine wote na watanzania wote kwa msiba huu
Chadema mtafurahia sana lakini hajui mnafuraia kitu gani. Mungu awasamehe Maana hamjui mlitendalo.
Siku zina kuja kila Aliemchukia huyu bwana Ataomboleza. Huyu bwana Alikua mzalendo wa kweli katika nchi yetu.
Hahahahhaa nimecheka...ila honestly mambo mengi yatadororaTuondolee upunguan labda kwako na familia yako
Asante sana....It's not always the case
SIYO kweli kwamba malipo ni hapa hapa na wala maisha hayapo hivyo
Sema wewe unajifariji tu
Kuna nyakati nyingi tu unaweza kutenda mema na ukapata mabaya (mfano mzuri ni Yesu), Kuna wakati unaweza kuwa huna kosa lolote na bado ukapata mabaya (Soma kisa cha Ayubu kwenye biblia)
Hivyo karma haifanyi kazi sawa sawa kwa Kila mtu. Wapo watu wakorofi kupindukia na wanaishi maisha mazuri mpaka wanakufa wenyewe uzeeni
Pambana na hali yako
Chadema mtafurahia sana lakini hajui mnafuraia kitu gani. Mungu awasamehe Maana hamjui mlitendalo.
Siku zina kuja kila Aliemchukia huyu bwana Ataomboleza. Huyu bwana Alikua mzalendo wa kweli katika nchi yetu.
Ile anasema ukimfanyia mabaya na yeye ukifa atafufahia?
Kun thread ilikuwemo humu imefutwa...jamaa kama alijiandaa kufurahiaNyoosha maelezo, bado hujaeleweka.
Mungu uwalaze pema wote walouwawa kwa kuonewa.Watanzania tulipitia kipindi kigumu sana.Kama kuna mtu anafikiri kuwa tutasahau ni punguani!
View attachment 1728437
Mwogope Mungu maana mipango yake so yako.Kumbuka wenye ubaguzi kama we we wa ukanda nao wana mwanzo na mwisho.Kila nafsi itaonja umauti. Huyo anaefurahia siku zake zitafika tu.. na uzuri hakujawahi RAISI kutoka Kaskazini, na haitatokea kuongozwa na huo ukanda, labda kwa bahati mbaya.