Malipo ni hapahapa duniani, tutendeane wema

Malipo ni hapahapa duniani, tutendeane wema

Pole mpenzi utakua umeamini kuwa Covid ipo na inaua, tulitaka tupoteze mtu muhimu ndio hakili zikae sawa. Tu
Hata yeye mwenyewe alijua siku moja atakufa. Hata wewe na mimi siku moja tutakufa... ila hatujui sababu ya vifo vyetu.

Kila mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi ni chache


Rest well my President, Pole sana kwa watanzania na wote walioguswa
Mungu awape imani amani na utulive Samia Suluhu Hassana, wasaidizi wengine wote na watanzania wote kwa msiba huu
 
Hata yeye mwenyewe alijua siku moja atakufa. Hata wewe na mimi siku moja tutakufa... ila hatujui sababu ya vifo vyetu.
View attachment 1728518
Kila mwanadamu aliyeumbwa na mwanamke siku zake za kuishi ni chache
View attachment 1728520

Rest well my President, Pole sana kwa watanzania na wote walioguswa
Mungu awape imani amani na utulive Samia Suluhu Hassana, wasaidizi wengine wote na watanzania wote kwa msiba huu
Nimesoma nikirudia rudia kwa hisia sana, nimekuelewa mama D!
 
Hata yeye mwenyewe alijua siku moja atakufa. Hata wewe na mimi siku moja tutakufa... ila hatujui sababu ya vifo vyetu.
View attachment 1728518
Kila mwanadamu aliyeumbwa na mwanamke siku zake za kuishi ni chache
View attachment 1728520

Rest well my President, Pole sana kwa watanzania na wote walioguswa
Mungu awape imani amani na utulive Samia Suluhu Hassana, wasaidizi wengine wote na watanzania wote kwa msiba huu
Hakuna binadam alieumbwa na mwanamke
 
It's not always the case

SIYO kweli kwamba malipo ni hapa hapa na wala maisha hayapo hivyo

Sema wewe unajifariji tu

Kuna nyakati nyingi tu unaweza kutenda mema na ukapata mabaya (mfano mzuri ni Yesu), Kuna wakati unaweza kuwa huna kosa lolote na bado ukapata mabaya (Soma kisa cha Ayubu kwenye biblia)

Hivyo karma haifanyi kazi sawa sawa kwa Kila mtu. Wapo watu wakorofi kupindukia na wanaishi maisha mazuri mpaka wanakufa wenyewe uzeeni

Pambana na hali yako
Asante sana....
 
Chadema mtafurahia sana lakini hajui mnafuraia kitu gani. Mungu awasamehe Maana hamjui mlitendalo.

Siku zina kuja kila Aliemchukia huyu bwana Ataomboleza. Huyu bwana Alikua mzalendo wa kweli katika nchi yetu.

Kila nafsi itaonja umauti. Huyo anaefurahia siku zake zitafika tu.. na uzuri hakujawahi RAISI kutoka Kaskazini, na haitatokea kuongozwa na huo ukanda, labda kwa bahati mbaya.
 
Kabisa, ndio maana wakati upande mwingine wanalia sisi twaenda ku party, tusiishi kama vile miungu , dharau, viburi, majivuno, matusi yote utaenda nayo kaburini
 
Swali kubwa ni, post za ajira,zitarudi ama lah...
 
Kila nafsi itaonja umauti. Huyo anaefurahia siku zake zitafika tu.. na uzuri hakujawahi RAISI kutoka Kaskazini, na haitatokea kuongozwa na huo ukanda, labda kwa bahati mbaya.
Mwogope Mungu maana mipango yake so yako.Kumbuka wenye ubaguzi kama we we wa ukanda nao wana mwanzo na mwisho.
 
Back
Top Bottom