Lissu alidai kuwa moja ya upigaji wa fedha za chama yalifanyika kwenye kivuli cha malipo ya kukodi chopa wakati wa kampeni ya uchaguzi mkuu, kwakuwa mwenyekiti ndiye alikuwa anadai malipo ya gharama basi hakukuwa na namna!!!.
Ukimsikiliza Lissu hapo ni kama vile hamwamini Mbowe na kuona ni udanganyifu mkubwa uliokuwa unafanywa na mwenyekiti ili kujinufaisha na fedha za chama!!!
Lissu ameshuhudia maovu mengi ya mwenyekiti wake.
Ukimsikiliza Lissu hapo ni kama vile hamwamini Mbowe na kuona ni udanganyifu mkubwa uliokuwa unafanywa na mwenyekiti ili kujinufaisha na fedha za chama!!!
Lissu ameshuhudia maovu mengi ya mwenyekiti wake.