mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Waongo hao 12B sio hela ndogo kumlambisha mtuTetesi toka Twitter zinasema kuna mtu kalambishwa asali ya 12B, na bado anahitaji mabilioni mengine ya kubustia 🤣🤣🤣 Dr Slaa kazungumzia hilo suala.
Ila 12B sio pesa ya kitoto 🤣🤣