Pre GE2025 Malipo ya fedha za kukodisha chopa wakati wa kampeni yaliyolipwa kwa Mbowe yalimduwaza Lissu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tetesi toka Twitter zinasema kuna mtu kalambishwa asali ya 12B, na bado anahitaji mabilioni mengine ya kubustia 🤣🤣🤣 Dr Slaa kazungumzia hilo suala.


Ila 12B sio pesa ya kitoto 🤣🤣
Waongo hao 12B sio hela ndogo kumlambisha mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…