Malisa GJ huna uhalali wa kumlalamikia Nape kuku-block. Wewe ni kinara wa kupiga block

Huyu Kilaza Malisa sijui huwa anajikuta ni nani?Mimi tokea kipindi kile 2015 aliposema eti wanakwenda kushtaki Uholanzi baada ya kushindwa uchaguzi,nilihitimisha kijana ni mwepesi sana.Sasa hivi huyu ni wa kumwita Nape Mjinga?Malisa bwana hebu na yeye atuwekee matokeo yake ya form four? AKIWA KAFAULU SANA BASI ATAKUWA NA DIV 3.
 
Wewe matokeo yako yapo wapi ukiwa na hio division one ya 7 ?
 
😄. Kumbe huwq inauma? Hsta mi Malisa kaniblock kitambo kisa mawazo mbadala.
 
NAPE ALIMTUKANA MAGUFULI NA LOWASSA Kwanini asikumbushwe?
 
Sio yeye tuu kuna mwanaharakati anaitwa Maria "mtoto wa Sarungie" huyu naye anajinasibu anapambania "uhuru"/"Haki" lakini hapendi kuwa challenged hata kwa kuombwa fact tuu ya kile alichokisema, ukimhoji anakupa BLOCK so hawa wote ni aina ya watu wa ajabu sana wahubiri wa mambo wasiyoyatenda.
 
Asipangie watu kwan upande wa malisa hamna block button?
 
Mwanaume analalamika amekuwa blocked Twitter...
Vijana wa hovyo
 
Wapo weak sana.Mimi ninaona watu wanaoblock watu wana weak spirit. Mimi hata utukane vipi yaani,wala sikublock.Utatukana weeee,utaaacha mwenyewe tu.
 
Watu wanalalamikia NAPE sababu kitambi chake kinatunzwa na miTOZO unayokatwa! MALISA unamlipa?
Kwahiyo kama halipwi ndo awe na tabia za kipumbavu? Acha ku-justify upumbavu
 
Wapo weak sana.Mimi ninaona watu wanaoblock watu wana weak spirit. Mimi hata utukane vipi yaani,wala sikublock.Utatukana weeee,utaaacha mwenyewe tu.
Nawashangaa kwakweli wanayoyapigia kelele kwa wenzao na wao ndio wanayoyafanya.
 
Kama mtu alisoma SAUT kwa % kubwa itakuwa six hakufanya vizuri.
 
Watu ambao wakati wa JPM walifyata mkia sasa ndio wanajitutumua waktati hawaaminiki kwa ubadhirifu wa mali za umma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…