Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Choo hakipaswi kuwa na nzi abadani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh kwani ukioga huwa unafanya na mazoezi ya kung fu?
Mnaweza kukoment kwa bibi nyau au kwa tumboTunaokaa kwa mtogole tunacomment wapi,yaani choo msq 40
Hata na me nlishangaa kidogo, 40 sqm ni sitting room 2 zenye ukubwa wa kutosha kabisa, au madarasa 2 ya wastani iv.Una maana urefu mita 8 na upana mita 5 ndio 40 sqm mbona hilo bathroom kubwa sana zaidi ya sitting room
kuna mzee alikuwa anaenda na gazeti kabisa,mpaka alisome lote huku anakata gogoFavorite part of the house kwangu ni hiyo choo (me huwa naita Rest room or thinking room). Maana nikiingia huko huwa nabeba simu kabisa. Naweza kaa hata lisaa au saa na nusu. Just a place ambapo napata privacy ya kutosha kuwa pekee yangu mbali na dunia na walimwengu.
So Kimsingi kwangu ujenzi wa choo unazingatia vigezo vya rest room.
Ahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Inaonekana una kunya sana
Hii ni hatariiiiiii sanaaa 😂😂😂😂😂😂Inaonekana una kunya sana
😅😅😅😅Hii ni hatariiiiiii sanaaa 😂😂😂😂😂😂
Kaaaaah kwahyo jamaa anakata Sanaa Gogo kuliko usingiz😅😅😅😅
😅😅😅Fundi MaikoKuna fundi kajenga nyumba ya jirani kagorofa mbili SASA bomba la maji taka kalipitisha karibu na dirisha la floor ya chin🤣🤣🤣🤣
Ahahahahah nilichekaaa sanaaaa hawaaa mafundi hawaaa🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅Fundi Maiko