Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Mmh kwani ukioga huwa unafanya na mazoezi ya kung fu?
Mnaweza kukoment kwa bibi nyau au kwa tumboTunaokaa kwa mtogole tunacomment wapi,yaani choo msq 40
Hata na me nlishangaa kidogo, 40 sqm ni sitting room 2 zenye ukubwa wa kutosha kabisa, au madarasa 2 ya wastani iv.Una maana urefu mita 8 na upana mita 5 ndio 40 sqm mbona hilo bathroom kubwa sana zaidi ya sitting room
kuna mzee alikuwa anaenda na gazeti kabisa,mpaka alisome lote huku anakata gogoFavorite part of the house kwangu ni hiyo choo (me huwa naita Rest room or thinking room). Maana nikiingia huko huwa nabeba simu kabisa. Naweza kaa hata lisaa au saa na nusu. Just a place ambapo napata privacy ya kutosha kuwa pekee yangu mbali na dunia na walimwengu.
So Kimsingi kwangu ujenzi wa choo unazingatia vigezo vya rest room.
Ahahaha π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Inaonekana una kunya sana
Hii ni hatariiiiiii sanaaa ππππππInaonekana una kunya sana
π π π πHii ni hatariiiiiii sanaaa ππππππ
Kaaaaah kwahyo jamaa anakata Sanaa Gogo kuliko usingizπ π π π
π π π Fundi MaikoKuna fundi kajenga nyumba ya jirani kagorofa mbili SASA bomba la maji taka kalipitisha karibu na dirisha la floor ya chinπ€£π€£π€£π€£
Ahahahahah nilichekaaa sanaaaa hawaaa mafundi hawaaaπ€£π€£π€£π€£π€£π π π Fundi Maiko