Malkia Amanirenas: Shujaa wa kiafrika aliyeishinda dola ya Kirumi

Zitto junior, Ipi imani iliyo sahihi, na ipi haiko sahihi hebu nisaidie hapo
 
Zitto junior, Ipi imani iliyo sahihi, na ipi haiko sahihi hebu nisaidie hapo
Imani sahihi ni kumuabudu Mungu wa kweli if at all unaamini Mungu yupo kama mimi ila hizi dini ingawa zina nia moja ila procedure zao ndio zinatofautiana na ndio zimetuletea matatizo makubwa sisi wanadamu hadi kutufikisha hapa tulipo hadi wengine kuitumia kutugawa na kututawala
 
mkuu hizi ndondo nimezikubali sana. ila timing za utawala wa huyu mama kwa mujibu wa bandiko lako, na mwaka wa huyu mkushi anabatizwa ilikuwa ni ACE 33+ , ila umenifungua akili sana maana ni wiki hii tu tulikuwa tunajifunza kuhusu huyo jamaa lakini Kandake sikuwahi kudhani ni kitu chenye kuchukua umakini na chenye kina kikubwa kiasi hicho.
Hongera sana mkuu. binafsi nimebarikiwa na hii kitu.
 
Last edited:
ubarikiwe mkuu.
 
Kweli mkuu
 
Hivi magu nae yupo!
 
Kwa historia hiyo ina maanisha africa tuliwahi kuwa super power
Yawezekana hii historia tuliyosoma shule ya msingi na secondary ni kanyaboya,kuna mambo mengi bado tumefichwa!
Sijui wazungu walitupigaje bao
Ila nacho elewa Baada ya kuletewa biashara ya utumwa hapo ndipo tukaaribikiwa

Ova
 
Mambo kama haya ilibidi wafundishe mashuleni!syo historia tuliyosoma sisi iliyojaa uongo kumtukuza mtu mweupe na mwarabu,sijui fulani ndiyo kagundua Milima Kilimanjaro wakati pale kulikuwa na watu wanaishi ......
Malcolm lumumba@nimekuelewa sana Asante kwa nondo

Ova
 
Upo nje ya mada kabisa ianzishie uzi
 
Upo nje ya mada kabisa ianzishie uzi
Labda wewe ndiyo hujaelewa vizuri mada mkuu.
Mto maada amezungumzia mambo makubwa mawili hapa:
1. Malkia wa kushi na jinsi alivyomshinda Alexander Mkuu
2. Kufichwa kwa historia ya mtu mweusi kwa maslahi ya mtu mweupe (Papa Pius alikuwa mweupe)

NB: Utasemaje niko nje ya mada wakati nimezungumzia haya yote kwa pamoja???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…