Malkia Elizabeth kalala kuzimu. Je, karma itachukua mkondo wake?

Malkia Elizabeth kalala kuzimu. Je, karma itachukua mkondo wake?

Mshana jr, umeongea kitu hapo.

Pamoja na utumwa huyu mama Marehemu Malkia alikuwa mtu mwenye roho yake,

Pamoja na kitendo alichomfanyia mkwewe Diana cha kumkataa na kumwambia mwanae amchukue Camilla na Diana awemo tu humo kwenye casri ila asiwe mke wa mwanaye hakikutosha, akamkataa kabisa yule mjukuu yaani mtoto wa Diana.

Vikapimwa vinasaba hata ikajulikana baba wa mtoto nahisi ni baada ya Diana kufa

Wakamtupa jeshini.

Kaoa m marekani mweusi, unaambiwa hilo kasri lina mashangingi ya kizungu yamejaa yakawa yanam disi , kijana kufikia kuhama kwenye kasiri

Ila walikuja kuongea na bibi huku mwishoni.

Huwa nafuatilia hii familia kwa ajili nilim like sana Diana.

All in all marehemu alikuwa katili fulani hivi
 
Unaweza ukawa unaishi nje maisha ya utauwa kumbe ya ndani ni giza tupu.
 

Attachments

  • Screenshot_20220910_102153.jpg
    Screenshot_20220910_102153.jpg
    104.8 KB · Views: 22
Karma ni laana?
Duuuuh

Huu utakua ni uzi mpya huu napendekeza title iwe Karma ni laana

Asante mkuu!
Laana zipo za aina nyingi laana ya karma ni malipo ya matendo yako mabaya uliyowatendea nyuma. Mfano aliyemuua azory nae kafa, aliyemuua bob marley nae kafa, aliyemuua Tsvangirai nae kafa, Aliyemuua Ouko nae kafa, aliyemuua Mashood Abiola nae kafa, aliyemuua Lumumba nae kafa. SAsa kuua mtu kuna faida gani hali nawe utakufa, then mnaenda kutana huko.
Mtu yeyeto mwenye akili timamu hawezi ua mtu.
 
Laana zipo za aina nyingi laana ya karma ni malipo ya matendo yako mabaya uliyowatendea nyuma. Mfano aliyemuua azory nae kafa, aliyemuua bob marley nae kafa, aliyemuua Tsvangirai nae kafa, Aliyemuua Ouko nae kafa, aliyemuua Mashood Abiola nae kafa, aliyemuua Lumumba nae kafa. SAsa kuua mtu kuna faida gani hali nawe utakufa, then mnaenda kutana huko.
Asante mkuu umeelezea vizuri
 
Maneno ya msingi sana Mshana Jr na ukweli usifaohamika kwa wengi. "Kama uliuza watumwa kwenye maisha haya, utazaliwa utumwani na kuuzwa kama mtumwa. Kama ulinyanyasa maskini na fukara, utazaliwa fukara, na kunyanyasika pia. Kama ulifanya abortion, you will be aborted by your parents in your next life"
Anything you do here, maybe paid here and hereafter, in this life or in your next life. Roho zetu zinahifadhi matendo yetu yote na kumbukumbu zote za maisha tuliyowahi kupitia.
Sasa kama ulifanya maovu mengi utaadhibiwa yote au watachagua baadhi? Mfano dem alitoa mimba pia akajakuwa mnyanyasaji muuaji na alidhulumi sana watu. Karma ikimpata kwa yeyepua kuwa aborted Hays mengine atalipate?
 
Back
Top Bottom