Richard mtao
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 262
- 361
Just to remind you guys, haya yoote walituletea wao.
Mambo dini, imani za kizungu, mambo ya nani ni mpagani na sio mpagani ni wao hao hao.
Naona hata haya mambo ya karma, hayatuhusu waafrika kwa maaana walikuja wakatukuta na imani zetu...!
Mambo dini, imani za kizungu, mambo ya nani ni mpagani na sio mpagani ni wao hao hao.
Naona hata haya mambo ya karma, hayatuhusu waafrika kwa maaana walikuja wakatukuta na imani zetu...!