Richard mtao
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 262
- 361
Kwa hio mkuu unataka kusema kwamba Waangalikana wote mashoga?Hawaji wanajua. Church of england ambae malkia ndie mkuu wao ni Kanisa la mashoga
Kama viongozi wao wanaosapoti ushoga nao wapo uleta ukakasiKwa hio mkuu unataka kusema kwamba Waangalikana wote mashoga?
Ngoja waje
😂😂😂Kama viongozi wao wanaosapoti ushoga nao wapo uleta ukakasi
Welcome to hellImani ya kwamba kuna mbinguni au motoni walituletea wao kusema amekwenda motoni au yupo wapi ni ngumu sana,bora nikae kimya ,and no hell hell is propaganda,we are in hell right now!
Weka Ushahidi hapa. Hili jukwaa tunakuwepo na sisi pia. Please weka ushahidi wa hizi kauli mbili.Ile kofia yake ina madini yenye thamani ya Tsh billion moja na yaliporwa South Africa
Umeongea ukweli, You can't kill kiumbe chochote chenye spirit ukawa na amani.In the spirit there is ni forgiveness.Laana zipo za aina nyingi laana ya karma ni malipo ya matendo yako mabaya uliyowatendea nyuma. Mfano aliyemuua azory nae kafa, aliyemuua bob marley nae kafa, aliyemuua Tsvangirai nae kafa, Aliyemuua Ouko nae kafa, aliyemuua Mashood Abiola nae kafa, aliyemuua Lumumba nae kafa. SAsa kuua mtu kuna faida gani hali nawe utakufa, then mnaenda kutana huko.
Mtu yeyeto mwenye akili timamu hawezi ua mtu.
Inamaana kila aliyekufa kwa Ugonjwa aliuawa au vipi? Mfano Tsvangirai aliugua kafa sasa aliuawawaje au kijiwe chako kinakudanganyaLaana zipo za aina nyingi laana ya karma ni malipo ya matendo yako mabaya uliyowatendea nyuma. Mfano aliyemuua azory nae kafa, aliyemuua bob marley nae kafa, aliyemuua Tsvangirai nae kafa, Aliyemuua Ouko nae kafa, aliyemuua Mashood Abiola nae kafa, aliyemuua Lumumba nae kafa. SAsa kuua mtu kuna faida gani hali nawe utakufa, then mnaenda kutana huko.
Mtu yeyeto mwenye akili timamu hawezi ua mtu.
Refer karma kwenye Bible ... Nami nawapatiza wana maovu ya baba zao wa kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukizaoHiyo Karma mtoto analipia ya Wazazi au Mababu? Maana maswala ya Utumwa na Ukoloni wa mateso yote suo yake ni ya Mababu zake
Alipandikiziwa na mbaya wake asimpokonye tonge,labda kama ujui historyInamaana kila aliyekufa kwa Ugonjwa aliuawa au vipi? Mfano Tsvangirai aliugua kafa sasa aliuawawaje au kijiwe chako kinakudanganya
Sasa kama ulifanya maovu mengi utaadhibiwa yote au watachagua baadhi? Mfano dem alitoa mimba pia akajakuwa mnyanyasaji muuaji na alidhulumi sana watu. Karma ikimpata kwa yeyepua kuwa aborted Hays mengine atalipate?
Karma na (re)incarnation viko upande wa paganism, msamaha wa dhambi (pardoned) na (re)birth viko upande wa waamini katika Mungu mmoja..Karma na Incarnation ni vitu tofauti. Pia hakuna Incarnation duniani hizo ni story tu ( atleast according to The Bible). The Queen was Christian which means hata yeye haamini huo upuuzi wa Incarnation.
Regardless of what she did the prerequisite ya yeye au mtu yeyote kwenda mbinguni sio matendo yake,ni imani yake (atleast this is what Christianity teaches). So if she had faith inJesus and His Sacrifice it wouldn't matter what she did. And if she was very good and her faith wasn't in Jesus it wouldn't have mattered either, she wouldn't go to a better place.
Kwenye magereza kuna wafungwa huwekewa makohozi ya watu wenye magonjwa ya TB... Kuna watu hutegewa hewa ya sumu inayoua taratibu kuna wengine hutegewa vimelea vya magonjwa ambukizi, wengine hurogwa nknkInamaana kila aliyekufa kwa Ugonjwa aliuawa au vipi? Mfano Tsvangirai aliugua kafa sasa aliuawawaje au kijiwe chako kinakudanganya
Toa nenoAisee