M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 3,285
- 5,598
Usisahau ni mpalestina yule.1. Hongera Theopista kwa kuwa muwazii, usiyumbishwe.
2. Haiwezekani penye ukweli mtu akulazimishe cha kusema.
3. Mahakama punde itaweka wazi yote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau ni mpalestina yule.1. Hongera Theopista kwa kuwa muwazii, usiyumbishwe.
2. Haiwezekani penye ukweli mtu akulazimishe cha kusema.
3. Mahakama punde itaweka wazi yote.
Alipaswa aachie mahakama ifanye kazi sio kuropoka ovyoHakuna mtu ambae hataki kuona haki inatendeka kwa yule binti
ila kitendo cha kumshukuia na kumshambulia yule Rpc haikua sawa.
kama ulisikiliza vizuri mahojiano yake kwa njia ya sauti yule mama utaona hakuongea vibaya kuhusu yule binti na kama ulinukuu t vichwa cha habar za utaona yule mama Rpc alikosea
Vijana wa hovyo hawa wanaipigia nyeto ndio maana hawaoni kama ni kosa lile.MBONA KAMA MNATAKA KUBADILI UPEPO NYIE WABONGO AMBAO MNAIANGALIA ILE VIDEO KILA SIKU ?
huyu atakuwa chawa wake anapima upepo huku Jf yenye watu wenye akili timamu tumuunge mkonoKashayatimba, mpatie ujumbe huu.
Kama utakuwa Theopista au chawa wake muambie akae Kwa kutulia1. Hongera Theopista kwa kuwa muwazii, usiyumbishwe.
2. Haiwezekani penye ukweli mtu akulazimishe cha kusema.
3. Mahakama punde itaweka wazi yote.
Naona mmesajili ID nyingi ili kutetea ubakaji.Ukweli utajulikana tu. Ukigusa makahaba na mashoga maagent wanakushukia kama mwewe.
Hivi ile ya Nawanda imefikia wapi? Hili nalo litapita.🤣🤣 jana wabongo uko mitandaoni walifuraa kwa hasiraa
Unataka nikujibu ili iwejeYa kutetea wabakaji
Una akili sawa sawa
Sio lazima kujibuUnataka nikujibu ili iweje
Theopista apewe PhD
Theopista akagombee ubunge kwao 2025
Ukweli utajulikana tu. Ukigusa makahaba na mashoga maagent wanakushukia kama mwewe.
Sawa Mr ConnectionPiga kazi kamanda Mkuu. Usibabaishwe
🤣 me nilishanga sana jana makahaba walio wengi hawapendwi kuitwa malaya wakati ni wauza k tu
Mahakama ndio itatoa tafsiri kamili
Hakika. Tuache hizo Kangaroo Courts za Buza.Sio tafsiri tu, itendee Haki Kwa mhanga na watuhimiwa.