Malkia wa Sheba (Queen of Sheba) ni nani?

Malkia wa Sheba (Queen of Sheba) ni nani?

baada ya hapo ninaweza badili msimamo wangu au mimi nibaki na msimamo wangu na wewe ubaki na wako
 
ndio musa alikuja baada ya suleiman ,ina maana hujui hilo? kama huji ficha ujinga wako endelea kusoma coments za watu ujifunze.
musa ni wajuzi tu ,baada ya musa ndio akaja yesu
Sijui unasoma kitabu gan ila kwa mujibu wa biblia musa alianza na Huyo suleiman alizaliwa miaka mingi baada ya musa kufariki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humu wengine hawajasoma Biblia ila wamesimuliwa tu.

Kati ya nabii Mussa na mfalme Selemani mwana wa mfalme Daudi ni nani ametangulia?

Jibu ni MUSSA.

Baada ya Mussa kuwatoa wana wa Israel kutoka misri na kwenda kukaa katika mji wa ahadi, miaka mingi ilipita na hakukuwa na mtawala yeyote katika ardhi ya waisrael

Kwa wakati huo waliibuka watu waliokuwa na upako wa kimungu na walililinda taifa la Israel. Hawa walijulikana kama WAAMUZI. Soma kitabu cha waamuzi. Mfano wa waamuzi ni SAMSON.

Baada ya zama za waamuzi kuisha ndio Mungu akawateulia waisrael mfalme wa kwanza aitwaye SAULI. Kisa ufalme ukahamia nyumbani kwa Yesse kwa kijana shupavu aitwaye DAUDI. Ndiye aliyemzaa mfalme Selemani.

Hivyo Selemani ni kizazi cha baadaye kabisa baada ya kuwapo kwa Mussa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jua hivyo mkuu. Watawala wa awali kbs wa Misri walikua weusi. Ndio sababu Waarabu wa sasa wamemegua.pua za yale masanamu ili uficha ukweli huo mchungu
Heshima kwako mkuu, umeniongezea maarifa na pia wale watu 1000 waliotuma na suleimain kumsaidia menelik 1 nao walijichanganya tuu na ngozi nyeusi na kuzaa pia ya misri nilikua sina ilo wazo ili ni kweli kabisa na nategemea hadi sasa kuwe na hiyo damu ya uyahudi kwa kiasi kikubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nachojiuliza juu ya hii historia ni hiki.

Nabii Suleiman na Malkia huyo walizaa mtoto ni mweusi kabisa na ndiye huyu Menelik wa kwanza. Malkia alikuwa ni wa Yemen na kipindi hiko wanakaa waarabu, maana yake ni mwarabu. Sasa Mwarabu na Mtu mweupe(wengi wanavyoamini Nabii Suleiman ni mweupe) watatoaje mtoto mweusi?
Mkuu ukitaka kujifunza historia usiangalie kwa perspective ya sasa itakuchanganya...... Utawala wa Ethiopia uliwahi tawala kuanzia Ethiopia yenyewe (Yaani Abyssinia,eritrea,djibouti,somalia) mpaka misri hadi mashariki ya kati. Kwahiyo kutawala Yemen haimaanishi uwe muarabu.

Hata Kina Hanibal wa asili ya Numidia huko Africa kaskazini alikua mweusi ila alitawala mpaka Hispania na aliitandika dola ya kirumi ingawa hakuwa mzungu.

Hawa waarabu unaoawaona misri leo au Algeria hawakuwepo hapo enzi zote walihamia tu juzi juzi..... Soma kuhusu 25 dynasty ya misri utaona kina pharaoh Thutmose III mijitu meusi kabisa ila wengi wanadhani waarabu ndio wakazi halisi wa Misri. Si kweli ni wageni tu.
 
Humu wengine hawajasoma Biblia ila wamesimuliwa tu.

Kati ya nabii Mussa na mfalme Selemani mwana wa mfalme Daudi ni nani ametangulia?

Jibu ni MUSSA.

Baada ya Mussa kuwatoa wana wa Israel kutoka misri na kwenda kukaa katika mji wa ahadi, miaka mingi ilipita na hakukuwa na mtawala yeyote katika ardhi ya waisrael

Kwa wakati huo waliibuka watu waliokuwa na upako wa kimungu na walililinda taifa la Israel. Hawa walijulikana kama WAAMUZI. Soma kitabu cha waamuzi. Mfano wa waamuzi ni SAMSON.

Baada ya zama za waamuzi kuisha ndio Mungu akawateulia waisrael mfalme wa kwanza aitwaye SAULI. Kisa ufalme ukahamia nyumbani kwa Yesse kwa kijana shupavu aitwaye DAUDI. Ndiye aliyemzaa mfalme Selemani.

Hivyo Selemani ni kizazi cha baadaye kabisa baada ya kuwapo kwa Mussa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duu jamaa wa ajabu huyu yan anamuona mwenzake ndo mjinga kumbe yeye ndo hajui kitu af anabisha kam ukweli vile
Wakuu haina haja ya kumshambulia story za Makeda/Queen of Sheba/Amanirenas/Candace au jina lolote lile walilomuita zipo katika maandiko tofauti sio lazma Biblia kwahiyo anaweza akawa sahihi kutoka na chanzo chake.

Mfano Quran tunaona Canaan ni mtoto wa Nabii Nuh ila Biblia anageuka mjukuu wa Nabii Nuh na literature zingine zinadai hakuwa mtoto wa Nuh bali Malaika Shamael kupitia Ham.

So chanzo kina matter nlitaka niwele hilo sawa. Lakini pia niweke mtazamo kuwa vitabu vya Bible havipo katika chronological order mfano kitabu cha Ayubu kipo katikati ila Ayubu ameishi miaka mingi hata kabla ya Abraham.
 
Nachojiuliza juu ya hii historia ni hiki.

Nabii Suleiman na Malkia huyo walizaa mtoto ni mweusi kabisa na ndiye huyu Menelik wa kwanza. Malkia alikuwa ni wa Yemen na kipindi hiko wanakaa waarabu, maana yake ni mwarabu. Sasa Mwarabu na Mtu mweupe(wengi wanavyoamini Nabii Suleiman ni mweupe) watatoaje mtoto mweusi?
The truly history had polluted with some Babylons...Solomon was not a white man as some people portray!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humu wengine hawajasoma Biblia ila wamesimuliwa tu.

Kati ya nabii Mussa na mfalme Selemani mwana wa mfalme Daudi ni nani ametangulia?

Jibu ni MUSSA.

Baada ya Mussa kuwatoa wana wa Israel kutoka misri na kwenda kukaa katika mji wa ahadi, miaka mingi ilipita na hakukuwa na mtawala yeyote katika ardhi ya waisrael

Kwa wakati huo waliibuka watu waliokuwa na upako wa kimungu na walililinda taifa la Israel. Hawa walijulikana kama WAAMUZI. Soma kitabu cha waamuzi. Mfano wa waamuzi ni SAMSON.

Baada ya zama za waamuzi kuisha ndio Mungu akawateulia waisrael mfalme wa kwanza aitwaye SAULI. Kisa ufalme ukahamia nyumbani kwa Yesse kwa kijana shupavu aitwaye DAUDI. Ndiye aliyemzaa mfalme Selemani.

Hivyo Selemani ni kizazi cha baadaye kabisa baada ya kuwapo kwa Mussa.

Sent using Jamii Forums mobile app
umemaliza ubishi mkuu chukua point zako zote
 
Licha ya kuwa chimbuko lake bado linashindaniwa, Malkia wa Sheba – anaejulikana pia kwa jina la Makeda – ni jina muhimu kwa Waethiopia. Kwa wengi ni alama ya uzuri, upendo, amani, na mtu aliyependa kutafuta elimu na maarifa. Lakini kwa Waethiopia, Malkia wa Sheba kwao ni kila kitu. Kukutana kwake na Mfalme Sulemani miaka 3,000 iliyopita, ni jambo la kihistoria. Hii hapa hadithi yake.
Malkia wa Sheba aliishi lini? Anaaminika aliishi zaidi ya miaka elfu tatu iliyopita.

Malkia wa Sheba anajulikana kwa lipi? Kufuatia kiu chake cha kupata maarifa, malikia huyu anasemekana alimtembelea mfalme Sulemani wa Israel aliyekuwa na hekima nyingi mjini Jerusalem. Historia iliyoandikwa inadokeza kuwa malkia huyu alimzalia mfalme Sulemani mwana wa kiume ambaye alikuja kuwa mfalme wa kwanza wa Ethiopia wa utawala wa Kisulemani.

Königin von Saba

Tunajuaje kuhusu kuishi kwake? Tukio hilo la Jerusalem lilinakiliwa katika nyaraka mbali mbali ikiwemo bibilia ya Kiyahudi, Quran ambamo Malkia huyo anaitwa Bilqis na katika kitabu cha kale cha Ethiopia kinachojulikana Kebre Negast ambamo anajulikana kwa jina Makeda. Ametajwa pia katika agano jipya la Bibilia kama malkia wa Kusini.

Kebre Negast ni nini? Kebre Negast mwanzo ilikusanywa katika karne ya kumi na nne nchini Ethiopia. Baadhi ya matukio yaliyomo katika nyaraka hizo yalitoka katika agano la kale na jipya, kutoka kwa Wamisri, Waarabu na Waethiopia. Kebre Negast inaeleza kwa undani kukutana kwa Malkia Sheba na Mfalme Sulemani. Hadithi hiyo inaeleza kuwa baada ya kumpa Makeda hekima yake, Sulemani alilala naye kwa usiku mmoja, tendo lililopelekea kuzaliwa kwa Mfalme Menelik wa kwanza, muasisi wa utawala wa Kisulemani nchini Ethiopia ambao uliendelea kutawala hadi Wakati Mfalme Haile Selassie alipoondolewa mwaka 1974.

Königin von Saba

Lakini Malkia wa Sheba alitokea wapi? Chimbuko la Malkia Sheba imekuwa ni kitendawili. Waethiopia wanaamini anatokea kwao, Wayemen pia wanadai kuwa ni wao kwani Sheba inamaanisha utawala wa Kiyemeni wa Saba. Waethiopia wanaamini kuwa kasri lake lilikuwa katika mji wa kaskazini mwa Ethiopia wa Aksum ambako mpaka sasa bado magofu ya kasri hiyo yanaweza kutembelewa.

Nani anavutiwa na Malkia wa Sheba? Kukutana kwa Malkia na Mfalme kwa ajili ya uchu wa maarifa mpaka sasa kunasalia kuwa mojawapo ya vivutio vikubwa kwa watu wengi. Watu kutoka maeneo mbali mbali duniani wanaonesha kuvutiwa kwao na Malkia huyo kwa njia mbali mbali aidha kupitia michoro, mashairi, vinyago au kupitia njia nyingine. Kutokana na kuwa hadithi yake inatokana na mapenzi, umoja na urafiki, ina mvuto mkubwa.
 
Nasikia huyu mwanamke alijikeketa ili asigegedwe. Aliamini kwamba kugongwa kungeathiri nguvu zake za kiutawala.
 
Licha ya kuwa chimbuko lake bado linashindaniwa, Malkia wa Sheba – anaejulikana pia kwa jina la Makeda – ni jina muhimu kwa Waethiopia. Kwa wengi ni alama ya uzuri, upendo, amani, na mtu aliyependa kutafuta elimu na maarifa. Lakini kwa Waethiopia, Malkia wa Sheba kwao ni kila kitu. Kukutana kwake na Mfalme Sulemani miaka 3,000 iliyopita, ni jambo la kihistoria. Hii hapa hadithi yake.
Malkia wa Sheba aliishi lini? Anaaminika aliishi zaidi ya miaka elfu tatu iliyopita.

Malkia wa Sheba anajulikana kwa lipi? Kufuatia kiu chake cha kupata maarifa, malikia huyu anasemekana alimtembelea mfalme Sulemani wa Israel aliyekuwa na hekima nyingi mjini Jerusalem. Historia iliyoandikwa inadokeza kuwa malkia huyu alimzalia mfalme Sulemani mwana wa kiume ambaye alikuja kuwa mfalme wa kwanza wa Ethiopia wa utawala wa Kisulemani.

Königin von Saba

Tunajuaje kuhusu kuishi kwake? Tukio hilo la Jerusalem lilinakiliwa katika nyaraka mbali mbali ikiwemo bibilia ya Kiyahudi, Quran ambamo Malkia huyo anaitwa Bilqis na katika kitabu cha kale cha Ethiopia kinachojulikana Kebre Negast ambamo anajulikana kwa jina Makeda. Ametajwa pia katika agano jipya la Bibilia kama malkia wa Kusini.

Kebre Negast ni nini? Kebre Negast mwanzo ilikusanywa katika karne ya kumi na nne nchini Ethiopia. Baadhi ya matukio yaliyomo katika nyaraka hizo yalitoka katika agano la kale na jipya, kutoka kwa Wamisri, Waarabu na Waethiopia. Kebre Negast inaeleza kwa undani kukutana kwa Malkia Sheba na Mfalme Sulemani. Hadithi hiyo inaeleza kuwa baada ya kumpa Makeda hekima yake, Sulemani alilala naye kwa usiku mmoja, tendo lililopelekea kuzaliwa kwa Mfalme Menelik wa kwanza, muasisi wa utawala wa Kisulemani nchini Ethiopia ambao uliendelea kutawala hadi Wakati Mfalme Haile Selassie alipoondolewa mwaka 1974.

Königin von Saba

Lakini Malkia wa Sheba alitokea wapi? Chimbuko la Malkia Sheba imekuwa ni kitendawili. Waethiopia wanaamini anatokea kwao, Wayemen pia wanadai kuwa ni wao kwani Sheba inamaanisha utawala wa Kiyemeni wa Saba. Waethiopia wanaamini kuwa kasri lake lilikuwa katika mji wa kaskazini mwa Ethiopia wa Aksum ambako mpaka sasa bado magofu ya kasri hiyo yanaweza kutembelewa.

Nani anavutiwa na Malkia wa Sheba? Kukutana kwa Malkia na Mfalme kwa ajili ya uchu wa maarifa mpaka sasa kunasalia kuwa mojawapo ya vivutio vikubwa kwa watu wengi. Watu kutoka maeneo mbali mbali duniani wanaonesha kuvutiwa kwao na Malkia huyo kwa njia mbali mbali aidha kupitia michoro, mashairi, vinyago au kupitia njia nyingine. Kutokana na kuwa hadithi yake inatokana na mapenzi, umoja na urafiki, ina mvuto mkubwa.
Lengo lako nini mkuu kwa hadthi hii!
 
Naipenda sana historia ya Malkia wa Sheba. Inaonesha alikuwa hodari sana. Bado kuna mengi juu yake nayotamani kuyafahamu. Asante sana Mkuu.

Vipi inaweza kuwa tunae Malkia wa Sheba wa Kileo katika moja ya Nchi huru za Kiafrika?
 
Licha ya kuwa chimbuko lake bado linashindaniwa, Malkia wa Sheba – anaejulikana pia kwa jina la Makeda – ni jina muhimu kwa Waethiopia. Kwa wengi ni alama ya uzuri, upendo, amani, na mtu aliyependa kutafuta elimu na maarifa. Lakini kwa Waethiopia, Malkia wa Sheba kwao ni kila kitu. Kukutana kwake na Mfalme Sulemani miaka 3,000 iliyopita, ni jambo la kihistoria. Hii hapa hadithi yake.
Malkia wa Sheba aliishi lini? Anaaminika aliishi zaidi ya miaka elfu tatu iliyopita.

Malkia wa Sheba anajulikana kwa lipi? Kufuatia kiu chake cha kupata maarifa, malikia huyu anasemekana alimtembelea mfalme Sulemani wa Israel aliyekuwa na hekima nyingi mjini Jerusalem. Historia iliyoandikwa inadokeza kuwa malkia huyu alimzalia mfalme Sulemani mwana wa kiume ambaye alikuja kuwa mfalme wa kwanza wa Ethiopia wa utawala wa Kisulemani.

Königin von Saba

Tunajuaje kuhusu kuishi kwake? Tukio hilo la Jerusalem lilinakiliwa katika nyaraka mbali mbali ikiwemo bibilia ya Kiyahudi, Quran ambamo Malkia huyo anaitwa Bilqis na katika kitabu cha kale cha Ethiopia kinachojulikana Kebre Negast ambamo anajulikana kwa jina Makeda. Ametajwa pia katika agano jipya la Bibilia kama malkia wa Kusini.

Kebre Negast ni nini? Kebre Negast mwanzo ilikusanywa katika karne ya kumi na nne nchini Ethiopia. Baadhi ya matukio yaliyomo katika nyaraka hizo yalitoka katika agano la kale na jipya, kutoka kwa Wamisri, Waarabu na Waethiopia. Kebre Negast inaeleza kwa undani kukutana kwa Malkia Sheba na Mfalme Sulemani. Hadithi hiyo inaeleza kuwa baada ya kumpa Makeda hekima yake, Sulemani alilala naye kwa usiku mmoja, tendo lililopelekea kuzaliwa kwa Mfalme Menelik wa kwanza, muasisi wa utawala wa Kisulemani nchini Ethiopia ambao uliendelea kutawala hadi Wakati Mfalme Haile Selassie alipoondolewa mwaka 1974.

Königin von Saba

Lakini Malkia wa Sheba alitokea wapi? Chimbuko la Malkia Sheba imekuwa ni kitendawili. Waethiopia wanaamini anatokea kwao, Wayemen pia wanadai kuwa ni wao kwani Sheba inamaanisha utawala wa Kiyemeni wa Saba. Waethiopia wanaamini kuwa kasri lake lilikuwa katika mji wa kaskazini mwa Ethiopia wa Aksum ambako mpaka sasa bado magofu ya kasri hiyo yanaweza kutembelewa.

Nani anavutiwa na Malkia wa Sheba? Kukutana kwa Malkia na Mfalme kwa ajili ya uchu wa maarifa mpaka sasa kunasalia kuwa mojawapo ya vivutio vikubwa kwa watu wengi. Watu kutoka maeneo mbali mbali duniani wanaonesha kuvutiwa kwao na Malkia huyo kwa njia mbali mbali aidha kupitia michoro, mashairi, vinyago au kupitia njia nyingine. Kutokana na kuwa hadithi yake inatokana na mapenzi, umoja na urafiki, ina mvuto mkubwa.
Source ya habari hii i wapi Chief Bujibuji?

Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom