TANZIA Malkia wa Uingereza, Elizabeth II afariki dunia akiwa na miaka 96

Harry mjukuu aliyetengwa kwa kuoa mke Mmarekani mwenye asili ya Mongolia naye kaitwa kutoka USA. Jua mambo si mambo. Haya mambo ya kujiandaa kisokologia yako hata majuu. Ila Mh PM vile aliposema mimbarini Mbeya akamjia juuweeee!
 
Wanaelekea kwan ni mbali sana na yy alipo??? Au ni km hapa na USA??[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na huo ndio mwisho wa The Royal Family...., Hakuna mwingine wa ku-command respect kama huyu, Soon walipa Kodi wataanza kujiuliza WTF...,

RIP Queen Victoria, We Shall Never See her Like Again, Now Her Walk has Ended... (The Face of Britain)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…