DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Kama Wakati Ule KassimNafuatilia kwa karibu
Ndugu na wajukuu wamefika Balmoral
Ila wenzetu hawana uongo wala kuficha
Kama anaumwa wanasema
Wauguzi wake wanasema anaangaliwa kwa ukaribu
Ila sisi tungesema yupo bukheri
Hii comment yako ni kwa watu wenye IQ kubwa tu.hatimaye amefariki....muhimili wa zile familia 13 za kishetani zinazotawala dunia.
Kifo kimebàki kuwa msumari wa Moto ktk maisha ya binadam. Mungu atupe kupenda watu na sio vitu. RIP Malikia
Member wa commonwealth lazima aende na msafara wa kutosha.Bila shaka mama Samia anapanga nguo tayari kwa safari kuelekea msibani
Weeee !!