Wewe na huyo mwenzako wote mmekutana ni wajinga.. ndio nyinyi mnafanya CCM isitoke madarakani na story zenu za vijiweni...Hii comment yako ni kwa watu wenye IQ kubwa tu.
Mapopoma hawatokuelewa
Prince charles ndiyo anarithi sababu ndiyo alikuwa crown prince huyo william ni mjukuu atarithi baada ya charlesNi kwamba hatunaye tena.[emoji29]
Sasa ni kuwa atapewa Prince William au?
Kifo...Kwel kifo ni mpango wa Mungu ,huyu malkia ana timu kubwa ya madactari na manesi wako maalumu kulinda afya yake kuanzia kuoga had kula,sasa bibi yangu kijijini ana 102 bado anapeta ,hata bima ya afya hajui ni kitu gan.
Ndio tunatoa toa nguo kabatini hapa, tunakwenda UK tukitoka huko tutapitia Kenya kuapishwa kwa Ruto.Member wa commonwealth lazima aende na msafara wa kutosha.
Una uhakika gan kama mie ni kijana wa nchi yako? Fvck yovWewe na huyo mwenzako wote mmekutana ni wajinga.. ndio nyinyi mnafanya CCM isitoke madarakani na story zenu za vijiweni...
Ni aibu na fedhea kuwa na vijana kama nyinyi kwenyw nchi hii
Wavaa vipedo na wafuasi hellen g white ndio mna hizo mambo !!Hii comment yako ni kwa watu wenye IQ kubwa tu.
Mapopoma hawatokuelewa
Wewe ni mpumbavu ?
Hapana, Charles atakuwa king bila queenKwahiyo hawala yake prince Charles camila ndio atakuwa Queen na Prince Charles kuwa King?
Popoma Pro maxWavaa vipedo na wafuasi hellen g white ndio mna hizo mambo !!
HOVYOO KABISA !!